Yondani, chuji nuksi-mzungu

Yondani, chuji nuksi-mzungu

Isoliwaya

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
150
Reaction score
35
Wakuu mapema leo kwenye gazeti la mwanaspoti kocha mkuu wa Azam, Stewart Hall ameongea kuwa anahofu na uzoefu wa beki ya kati ya Yanga has uwepowa Yondani, Canavaro na Chuji. Maelezo aliyotoa ni kuwa hiyo safu ya beki wa kati wa Yanga imejaa uzoefu mkubwa kuliko mabeki wakati wa Azam. Sasa kutokana na matokeo ya mechi ya leo utaona kwamba yanga walianza na kasi kubwa halafu taratibu wakapungua. Je wakuu hapa ninajiuliza kuwa Kuumia kwa Yondani kunaweza kuwa ni mipango madhubuti ya kocha wa azam kwa vijana wake kuwa hakikisheni mnawaumiza hawa mabeki wa kati wa yanga wakifikiri kuwa kwakufanya hivyo kungewafanya azam wamalize gemu mapema kwamaana ya kuwadhoofisha yanga?
Kama ni kweli mbinu za leo za kuumiza wachezaji basi kwa kiasi fulani zimewasaidia lakini bado Yanga ni timu imara ambayo inaweza kuhimili pressure ya Azam
 
Walijitahd kias chake kufanya hvyo lakin alitoka jembe yondan akaingia twite ambaye pia n bek mzur sana kwa hyo Azam tuliwakamata kila idara
 
Kwa sasa Yanga inaweza kutoa wachezaji wote 11 wa kwanza ma kuingiza 11 wengine bila kuathiri ushindi wao. Hizo mbinu na kuumiza wachezaji wa timu pinzani zimepitwa na wakati. Walichofanikiwa Azam ni kupunguza idadi ya magoli bila kuathiri ushindi wa Yanga.
 
Azam bado sana.Wamezoea kuhonga tu!

Mkuu, hawa wameanzisha ushirikiano wa timu 13 kama ule wa kuruta wa JKT sasa Afande Yanga kaanza 'kuwakinuja' (kubamiza uso kwenye kitu kigumu, mfano sakafu/ukuta) watokwe damu puani kisha wafarakane ndipo heshima itakaporejea. Yanga itakamiwa sana zaidi ya miaka yote, cha muhimu kila anayesogeza pua wahakikishe wanamtoa 'noge' (damu puani).
 
Wakati Yanga ikifanya makamuzi,simba ipo Iramba kwa mwigulu ikiagua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom