Yesu alikuwa na Wanafunzi wa kike

Yesu alikuwa na Wanafunzi wa kike

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,611
Reaction score
10,171
Wanafunzi wa Yesu waliotajwa kwa jina wengi wao walikuwa wanaume 12 maarufu kama mitume. Hata hivyo, Biblia pia inataja wanawake waliokuwa wanafunzi wa Yesu kwa namna ya kiroho na waliomfuata kwa uaminifu katika huduma yake. Hawa ni miongoni mwa wanawake waliomsaidia, kumhudumia, na kushuhudia mateso na ufufuo wake. Baadhi yao ni:

Maria Magdalena – Alikuwa mmoja wa wafuasi wake wa karibu na ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona Yesu baada ya kufufuka (Yohana 20:1–18).

Maria mama yake Yakobo mdogo na Yose (Marko 15:40).

Salome – Alitajwa kuwa mmojawapo wa wanawake waliokuwa pamoja na Yesu wakati wa kusulubiwa na ufufuo (Marko 16:1).

Martha na Maria (dada wa Lazaro) – Walikuwa rafiki wa Yesu na waliomkaribisha nyumbani kwao mara kwa mara (Luka 10:38–42; Yohana 11).

Yohana mke wa Kuza – Alitajwa kati ya wanawake waliomsaidia Yesu kwa mali zao (Luka 8:3).

Susana – Mfuasi mwingine wa Yesu aliyetajwa katika Luka 8:3.

Ingawa hawakuitwa rasmi "mitume," walikuwa wanafunzi wa Yesu katika maana ya kuwa wafuasi wake wa dhati, walioshiriki kikamilifu katika huduma yake.
 
Sababu ni Imani wewe amini tu utakavyo itakuwa sawa according to you...
 
Wanafunzi wa Yesu waliotajwa kwa jina wengi wao walikuwa wanaume 12 maarufu kama mitume. Hata hivyo, Biblia pia inataja wanawake waliokuwa wanafunzi wa Yesu kwa namna ya kiroho na waliomfuata kwa uaminifu katika huduma yake. Hawa ni miongoni mwa wanawake waliomsaidia, kumhudumia, na kushuhudia mateso na ufufuo wake. Baadhi yao ni:

Maria Magdalena – Alikuwa mmoja wa wafuasi wake wa karibu na ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona Yesu baada ya kufufuka (Yohana 20:1–18).

Maria mama yake Yakobo mdogo na Yose (Marko 15:40).

Salome – Alitajwa kuwa mmojawapo wa wanawake waliokuwa pamoja na Yesu wakati wa kusulubiwa na ufufuo (Marko 16:1).

Martha na Maria (dada wa Lazaro) – Walikuwa rafiki wa Yesu na waliomkaribisha nyumbani kwao mara kwa mara (Luka 10:38–42; Yohana 11).

Yohana mke wa Kuza – Alitajwa kati ya wanawake waliomsaidia Yesu kwa mali zao (Luka 8:3).

Susana – Mfuasi mwingine wa Yesu aliyetajwa katika Luka 8:3.

Ingawa hawakuitwa rasmi "mitume," walikuwa wanafunzi wa Yesu katika maana ya kuwa wafuasi wake wa dhati, walioshiriki kikamilifu katika huduma yake.
umezingua aisee.tofautisha wanafunzi na wafuasi.
kiswahili kizuri ni tenashara
 
Wafuasi na wanafunzi ni kitu kimoja. Mitume ndio tofauti na mitume walikuwa 12, sasa mimi nawewe nani amezingua?
umezingua aisee.tofautisha wanafunzi na wafuasi.
kiswahili kizuri ni tenashara
 
Wacha upumbavu wewe! Alikuwa yu namna ya mwanadamu ingawa hakutenda dhambi! Hivyo Yesu hakujihusisha na maswala ya wanawake maana alikuwa Mtakatifu mteule wa Mungu!
Ilikuwaje Maria Magdalena akawa na kiherehere Sana cha kujua ikiwa Yesu amefufuka au lah ?
Kwanini NI Yeye Tu na si mtu mwingine Kama Martha .Lilian au Aisha?


"Wamemchukua Bwana wangu na sijui walipomweka "


Hii kauli ina maana gani?
 
Wanafunzi wa Yesu waliotajwa kwa jina wengi wao walikuwa wanaume 12 maarufu kama mitume. Hata hivyo, Biblia pia inataja wanawake waliokuwa wanafunzi wa Yesu kwa namna ya kiroho na waliomfuata kwa uaminifu katika huduma yake. Hawa ni miongoni mwa wanawake waliomsaidia, kumhudumia, na kushuhudia mateso na ufufuo wake. Baadhi yao ni:

Maria Magdalena – Alikuwa mmoja wa wafuasi wake wa karibu na ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona Yesu baada ya kufufuka (Yohana 20:1–18).

Maria mama yake Yakobo mdogo na Yose (Marko 15:40).

Salome – Alitajwa kuwa mmojawapo wa wanawake waliokuwa pamoja na Yesu wakati wa kusulubiwa na ufufuo (Marko 16:1).

Martha na Maria (dada wa Lazaro) – Walikuwa rafiki wa Yesu na waliomkaribisha nyumbani kwao mara kwa mara (Luka 10:38–42; Yohana 11).

Yohana mke wa Kuza – Alitajwa kati ya wanawake waliomsaidia Yesu kwa mali zao (Luka 8:3).

Susana – Mfuasi mwingine wa Yesu aliyetajwa katika Luka 8:3.

Ingawa hawakuitwa rasmi "mitume," walikuwa wanafunzi wa Yesu katika maana ya kuwa wafuasi wake wa dhati, walioshiriki kikamilifu katika huduma yake.
Mkewe Kuza aliitwa Yoana [Joana], sio Yohana, jaribu ku-edit mkuu

Vv
 
Ilikuwaje Maria Magdalena akawa na kiherehere Sana cha kujua ikiwa Yesu amefufuka au lah ?
Kwanini NI Yeye Tu na si mtu mwingine Kama Martha .Lilian au Aisha?


"Wamemchukua Bwana wangu na sijui walipomweka "


Hii kauli ina maana gani?
Kwa akili yako finyu ulifikri anasema bwana wa kukojoza?
 
Wanafunzi wa Yesu waliotajwa kwa jina wengi wao walikuwa wanaume 12 maarufu kama mitume. Hata hivyo, Biblia pia inataja wanawake waliokuwa wanafunzi wa Yesu kwa namna ya kiroho na waliomfuata kwa uaminifu katika huduma yake. Hawa ni miongoni mwa wanawake waliomsaidia, kumhudumia, na kushuhudia mateso na ufufuo wake. Baadhi yao ni:

Maria Magdalena – Alikuwa mmoja wa wafuasi wake wa karibu na ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona Yesu baada ya kufufuka (Yohana 20:1–18).

Maria mama yake Yakobo mdogo na Yose (Marko 15:40).

Salome – Alitajwa kuwa mmojawapo wa wanawake waliokuwa pamoja na Yesu wakati wa kusulubiwa na ufufuo (Marko 16:1).

Martha na Maria (dada wa Lazaro) – Walikuwa rafiki wa Yesu na waliomkaribisha nyumbani kwao mara kwa mara (Luka 10:38–42; Yohana 11).

Yohana mke wa Kuza – Alitajwa kati ya wanawake waliomsaidia Yesu kwa mali zao (Luka 8:3).

Susana – Mfuasi mwingine wa Yesu aliyetajwa katika Luka 8:3.

Ingawa hawakuitwa rasmi "mitume," walikuwa wanafunzi wa Yesu katika maana ya kuwa wafuasi wake wa dhati, walioshiriki kikamilifu katika huduma yake.
YESU alikuwa na wafuasi wengi, kuna wale 72 aliowatuma wawili wawili kwenda kumpeleka injili, lakini aliwachaguwa wanafunzi 12 aliowaita mitume
 
Back
Top Bottom