Majid, hili suala la kuuziana nyumba za serekali ni la kusikitisha kupita kikomo, sijui serekali ilifikiria nini kwenye hili!
- Yaani utadhani ni kundi la wahuni tu walikaa wakaamua, haiingii akilini kwamba ni serekali ya watu tuliowachagua wenyewe wanaweza kuwa na ubinafsi wa kiwango hiki!!
- Kwa kweli kama wengi wanavyosema ipo siku, hata kama sio zama hizi zetu, haki yetu hiyo iliyoporwa itarudi mikononi mwetu au wanetu au wajukuu zetu!!
-Namuomba mungu iwe ni kipindi cha maisha yangu ili nisiondoke roho yangu ikiwa na sononeko hili kubwa