Yemen: Shambulizi la kombora laua wanajeshi wasiopungua 70

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
May 27, 2016
5,416
7,828
Takribani wanajeshi 75 wameuawa kwenye shambulizi la kombora lililorushwa na wanamgambo wa Houthi kwenye msikiti katika jimbo la Marib nchini Yemen.

Vyanzo vimeliambia shirika la habari la AFP kwamba wanamgambo hao waliushambulia msikiti uliopo kwenye kambi ya kijeshi, takriban kilomita 170 mashariki mwa mji mkuu Sanaa wakati wa swala za jioni hapo jana.

Vyanzo kutoka hospitali ya Marib ambako miili ya wanajeshi na majeruhi ilipelekwa vimethibitisha idadi hiyo. Rais wa Yemen Abedrabbo Mansour Hadi amelaani shambulizi hilo akiliita ni la kijinga na la kigaidi hii ikiwa ni kulingana na shirika la habari la serikali la Saba.

Maelfu ya watu wengi wao wakiwa ni raia wameuawa na mamilioni kukimbia makazi yao tangu mwaka 2015, wakati Saudi Arabia na washirika wake walipoingilia mzozo nchini humo wakiiunga mkono serikali dhidi ya waasi hao wa Houthi.

====

Houthi rebels kill at least 70 Yemeni soldiers in missile attack on mosque

Military sources say the attack came during evening prayers at a military base in Yemen’s Marib province.

1579432494957.png


Houthi rebels have killed at least 70 Yemeni soldiers in a missile attack on a mosque in the central province of Marib, according to medical and military sources.

The Houthis attacked a mosque in a military camp in Marib – about 170km (105 miles) east of Sanaa – during evening prayers on Saturday, military sources said.

A medical source at a Marib city hospital, where casualties were transported, said that at least 70 soldiers were killed in the strike.

Yemen’s internationally recognised government – backed by a Saudi-led military coalition – has been battling the Iran-backed Houthis since 2014, when the rebels seized the northern capital of Sanaa.

Yemeni president Abd Rabbu Mansour Hadi condemned the “cowardly and terrorist” attack, according to the official Saba news agency. The report did not give a death toll.

“The disgraceful actions of the Houthi militia without a doubt confirm its unwillingness to (achieve) peace, because it knows nothing but death and destruction and is a cheap Iranian tool in the region,” it quoted Hadi as saying.

The Houthis did not make any immediate claim of responsibility.

Tens of thousands of people, mostly civilians, have been killed and millions displaced since 2015, when Saudi Arabia and its allies intervened in the conflict to back the government against the Houthi rebels.

The conflict, which the United Nations says has caused the world’s worst humanitarian crisis, has pushed the country to the brink of famine.

Sources: DW |
The Guardian
 
Vyanzo vimeliambia shirika la habari la AFP kwamba wanamgambo hao waliushambulia msikiti uliopo kwenye kambi ya kijeshi, takriban kilomita 170 mashariki mwa mji mkuu Sanaa wakati wa swala za jioni hapo jana.
Hawa jamaa hawaogopi kushambulia nyumba ya ibada?..😔😔😔 Au kwa kuwa msikiti unatumika na adui basi ni halali kushambuliwa?
 
Hawa jamaa hawaogopi kushambulia nyumba ya ibada?..😔😔😔 Au kwa kuwa msikiti unatumika na adui basi ni halali kushambuliwa?
Ulikuwa kwenye kambi ya kijeshi kwa hiyo sidhani kama kombora lingeweza kubagua pakupiga.
Mwisho wa yote ni saudia ikubali ya kwamba imeshindwa nchini Yemen na iondoke.
 
Hapo anayeumbuka ni wenye nchi. Middle east imefanywa kama sehemu ya kujaribia silaha.
Marekani na Saudia pako safi, hakuna vita na watu wanakula kuku kwa mrija. Waarabu ni wajinga na wasiokua na akili. Wameharibu nchi zao na kuonekana km kitovu cha ugaidi. Waige mfano kutoka Marekani, hakuna vita, watu wanakula kuku kwa mirija. Waarabu ni watu waajabu sana. Waige mfano hata kwa Russia
Saudi Arabia na Marekani wanazidi kuumbuka. Naona Iran inazidi kulipiza kisasi cha mauaji ya Qasem Soleimani.
 
Waarabu ni watu wa ovyo sana, hawana akili wala umoja. Middle east wameharibu kwa ujinga wao halafu wanasingizia Marekani. Marekani kwake pako safi hakuna vita. Ila miarabu yamekaa kuvaa mabomu yakajiripue waarabu wenzie wafe. Na marekani alivyojua miarabu haina akili basi anaitumia km condom. Wanaharibu nchi zao wanafikiri wanamkomoa Marekani
US - SAUDI ARABIA Ndio Wakulaumiwa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takribani wanajeshi 75 wameuawa kwenye shambulizi la kombora lililorushwa na wanamgambo wa Houthi kwenye msikiti katika jimbo la Marib nchini Yemen.

Vyanzo vimeliambia shirika la habari la AFP kwamba wanamgambo hao waliushambulia msikiti uliopo kwenye kambi ya kijeshi, takriban kilomita 170 mashariki mwa mji mkuu Sanaa wakati wa swala za jioni hapo jana.

Vyanzo kutoka hospitali ya Marib ambako miili ya wanajeshi na majeruhi ilipelekwa vimethibitisha idadi hiyo. Rais wa Yemen Abedrabbo Mansour Hadi amelaani shambulizi hilo akiliita ni la kijinga na la kigaidi hii ikiwa ni kulingana na shirika la habari la serikali la Saba.

Maelfu ya watu wengi wao wakiwa ni raia wameuawa na mamilioni kukimbia makazi yao tangu mwaka 2015, wakati Saudi Arabia na washirika wake walipoingilia mzozo nchini humo wakiiunga mkono serikali dhidi ya waasi hao wa Houthi.

====

Houthi rebels kill at least 70 Yemeni soldiers in missile attack on mosque

Military sources say the attack came during evening prayers at a military base in Yemen’s Marib province.

View attachment 1327491

Houthi rebels have killed at least 70 Yemeni soldiers in a missile attack on a mosque in the central province of Marib, according to medical and military sources.

The Houthis attacked a mosque in a military camp in Marib – about 170km (105 miles) east of Sanaa – during evening prayers on Saturday, military sources said.

A medical source at a Marib city hospital, where casualties were transported, said that at least 70 soldiers were killed in the strike.

Yemen’s internationally recognised government – backed by a Saudi-led military coalition – has been battling the Iran-backed Houthis since 2014, when the rebels seized the northern capital of Sanaa.

Yemeni president Abd Rabbu Mansour Hadi condemned the “cowardly and terrorist” attack, according to the official Saba news agency. The report did not give a death toll.

“The disgraceful actions of the Houthi militia without a doubt confirm its unwillingness to (achieve) peace, because it knows nothing but death and destruction and is a cheap Iranian tool in the region,” it quoted Hadi as saying.

The Houthis did not make any immediate claim of responsibility.

Tens of thousands of people, mostly civilians, have been killed and millions displaced since 2015, when Saudi Arabia and its allies intervened in the conflict to back the government against the Houthi rebels.

The conflict, which the United Nations says has caused the world’s worst humanitarian crisis, has pushed the country to the brink of famine.

Sources: DW |
The Guardian
Satanic faith on work with their Muhammad, hell is their suitable place
 
Vifo vimekwisha fikia 116.

====

UPDATE
Yemen: death toll rises to 116 from suspected Houthi missile attack.


The death toll from a suspected Houthi rebel missile attack on Yemeni government forces has risen to at least 116, making it one of the bloodiest incidents in the country’s civil war, and threatening to derail the country’s fragile peace process.

Ballistic missiles hit a mosque on Saturday at al-Estiqbal military camp in the central province of Ma’rib, where soldiers had gathered for evening prayers. Pictures and video from the scene showed a huge impact crater in the spot where the mosque had stood.

A spokesperson for the Yemeni armed forces, Abdu Abdullah Magli, said on Monday that the death toll was likely to rise again because of the serious nature of the injuries caused. While the government blamed the Houthi movement, which seized the capital, Sana’a, six years ago, none of the many groups fighting in Yemen has yet claimed responsibility for the attack.

[The Guardian]
 
Waarabu ni watu wa ovyo sana, hawana akili wala umoja. Middle east wameharibu kwa ujinga wao halafu wanasingizia Marekani. Marekani kwake pako safi hakuna vita. Ila miarabu yamekaa kuvaa mabomu yakajiripue waarabu wenzie wafe. Na marekani alivyojua miarabu haina akili basi anaitumia km condom. Wanaharibu nchi zao wanafikiri wanamkomoa Marekani
Upo Sahihi kiongozi hawa Ni wapimbavu wamekubali kugombanishwa km nyumbu kwa tamaa zao binafsi mtalaumu USA bure nyinyi manyumbu na wafuasi wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom