kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 682
Huyu mama nilidhani angeleta ushindani lakini nimepitia uzi mmoja hapa muda si mrefu naona, maji ya shingo, kulingana na maelezo ya mchambuzi mmoja hapa.
"Katika uchaguzi huu mtu anaye pull a string ni Clinton Mr. amepania mkewe ashinde alafu yeye ndiye atawale akiwa nyuma ya pazia.
Anajua wazi mkewe ni mgonjwa wa kifafa aliyoupata miaka mnne iliyopita baada ya kudondoka na kubamizwa kichwa sakafuni, alipata brain concussion na blood clot kwenye Ubongo walimfanyia operation ya kutoa clot lakini hali yake bado haijatengamaa, madaktari bingwa wanasema kuanguka kwake sakafuni kilisababishwa na stroke.
Ugonjwa wa kifafa ujitokeza in mild form wakati mwingine anakuwa na bizzare behaviour wakati mwingine ana freeze kwa sekude kama thelathini akiwa ameshikiria mike, walinzi wake wakiona hivyo wanamuwahi kimshikilia - cha ajabu wapiga kura wake health condition ya Hillary Clinton wala hawaiwekei maana ni hata kidogo"
Mitandao na wa Marekani wanahoji afya yake na wanataka kujua ukweli, 59% ya wapiga kura wa Marekani wamesisitiza wanataka kujua afya yake.
"Katika uchaguzi huu mtu anaye pull a string ni Clinton Mr. amepania mkewe ashinde alafu yeye ndiye atawale akiwa nyuma ya pazia.
Anajua wazi mkewe ni mgonjwa wa kifafa aliyoupata miaka mnne iliyopita baada ya kudondoka na kubamizwa kichwa sakafuni, alipata brain concussion na blood clot kwenye Ubongo walimfanyia operation ya kutoa clot lakini hali yake bado haijatengamaa, madaktari bingwa wanasema kuanguka kwake sakafuni kilisababishwa na stroke.
Ugonjwa wa kifafa ujitokeza in mild form wakati mwingine anakuwa na bizzare behaviour wakati mwingine ana freeze kwa sekude kama thelathini akiwa ameshikiria mike, walinzi wake wakiona hivyo wanamuwahi kimshikilia - cha ajabu wapiga kura wake health condition ya Hillary Clinton wala hawaiwekei maana ni hata kidogo"
Mitandao na wa Marekani wanahoji afya yake na wanataka kujua ukweli, 59% ya wapiga kura wa Marekani wamesisitiza wanataka kujua afya yake.
