Yasemwayo na mke wa mtu wakati wa Zinaa

Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!

Kama hujazoea si uache????
Hapo unahakikisha goti lake lafika kisogoni...na mito miwili chini ya kiuno.... mupe pushap kumi na tano za NGUVU za kiuno huku ukimwambia arudie tena kauli yake...!!
 
Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!

Kama hujazoea si uache????
Utaskia "Yaani mume wangu angekuwa anaweza kama wewe yaani nisingekupa" wizi mtupuuuuuuuuuuu!!
 

AGraaaaaaaaaaaa ,mmmmmm, ACHA KUSEMA UKWELI WEWE!
UKWELI UNAUMA LAKINI PIA UNACHEKESHA SANA HAPA. nIMEIPENDA KOMENTI YAKO HAIJAPENDELEA, IMETWANGA KWA WAASHERATI WOTE WAKIKE NA WAKIUME. acHA KUSEMA UKWELI WEWE IGA NYAYO ZA sERIKALI NA dOWANS, uKWELI UNAUMAPO, MWE!
 
"Tena leo ndio mwisho, usitafute na mimi sikutafuti"- Hii inatokea wakati anavaa nguo ili arudi kwa mumewe
 
Hapo unahakikisha goti lake lafika kisogoni...na mito miwili chini ya kiuno.... mupe pushap kumi na tano za NGUVU za kiuno huku ukimwambia arudie tena kauli yake...!!

Utaua mzee au ndivyo wanavyopenda?
 
huku kigamboni pazuri mr hajawahi kunileta hotel nzuri namna hii!namuuliza hivi mr akitaka nae usiku utampa?mhh nitasema naumwa najisikia vibaya
 
"Ahaa nimekosea number, kumbe ni wewe, nilikuwa nampigia mme wangu anyway tuonane lini?" - kumbe anataka mkitooo
 
umesahau na hii... Hv unajua toka nifunge ndoa ww ndo mwnaume wa kwnza knifundisha kutoka nje ya ndoa yng?. Cjui umeniwekea nin mpk nmekukbalia!

Kama sikoseki sweetlady si ni wewe kwenye tread fulani ulikuwa unaomba ushauri kuwa mume wako
katoka nje ya ndoa!Usije na wewe umeamua kurevenj
 
Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!

Kama hujazoea si uache????
Dogo unaelekea kusiko kwema kabisaaa....
Acha hiyo maneno, mke wa mtu ni sumu kaka
 
hello kula kidogo bakisia na mwenyenayo!. ukipenda kumega wawenzio nawe wako atamegwa hapahapa duniani!
 
Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!

Kama hujazoea si uache????

Theft over theft=conviction=sentence
 
my favourite ni hiii......

mume wangu mkali sana,akijua ataniua....lol
 
umesahau na hii... Hv unajua toka nifunge ndoa ww ndo mwnaume wa kwnza knifundisha kutoka nje ya ndoa yng?. Cjui umeniwekea nin mpk nmekukbalia!
Duh yaani kumbe unanisaliti mke wangu. Leo ukirudi nyumbani fungasha urudi kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…