Ndugu yangu,naona unatupotezea muda,kibiashara hakuna na wala hakutakua na tangazo la namna hiyo duniani.palipo na ukweli usinune,just clarify twende mbele,what am trying to do here is just to re arrange your requirements na hasa kupunguza wigo.tubaki na kaeneo kadogo unakokahitaji.otherwise kama umenuna,kanunue Generators za Dowans Utuwashie umeme tukulipe.