Yani wanaume jamani

vkeisy2006

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
229
Reaction score
99
Ningekuwa na uwezo Leo ningekamata kumbe yeyote mwenye viungo vya uzazi ningepeleka Uwanja wa Taifa ningechapa fimbo za makalioni ningechapa, nawanyoa nywele na nyusi zote na chupa, nawaweka juani then nachukua koleo nang'oa meno mawili ya mbele yale hapa, halafu namlaza kwenye cement juani mpaka jua likuche.

Then usiku namuingiza kwenye maji ya barafu akitoka nampa juisi ya pilipili kichaa hafu kesho asubuh nawaachie mrudi makwenu yani huyu kiumbe mme ameniuzi sana sana.

Shikamoo nyie wanaume hivi sijui manakuaga na akili gani halafu kujifanya kila kitu mnajua wakati hamna lolote.
 

Nyie wanaume jamani manakuaga na akili Gan lakini?
 
Duuuh mamii mbona hasira hivi kakufanyaje kikubwa hivyo????pole sana embu hesabu mpaka kumi basi kwanza halafu urudi utuambie kulikoni....
 

Unaonaje ungeanza na dingi ako?
 
nyie wanaume jamani manakuaga na akili gan lakini?

kwa kweli hawana akili mama terry inabidi tuwakate vikojoleo kama yule mwanamke wa nyeri...kenya alivyofanya mxiuuu
 
vkeisy2006

Nini tena mkuu mbona hukumu nyingi za mawazo nishirikishe pls
 
Last edited by a moderator:

nyege za kiangazi mbaya sana
 
SI BURE INAWEZEKANA WAME "KUKOPA" MCHANA HUU :wacko::wacko: !!!
 
Vipi Dada yetu - imekuwaje tena?? umeliwa 0713 nini?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…