Yanga bado wana nafasi yakufuzu hatua inayofata,mfano mechi ijayo Mo Bejaia na Medeama wakimpiga refa timu zote mbili zikatolewa mashindanoni inabaki Yanga na Tp Mazembe ndio wanafuzu hatua inayofata
Ningekutukana lkn nimegundua ni mtoto hujui unachokiongea na mtoto cku zote yake nepiYanga wana laana ya Coast Union na Mwadui.....bila ya kusahau ya kununua mechi ili apate ubingwa.....na haya ndio matokeo yake.....