Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
<br />
<br />
Habari zenu bhaaana wanajangwani! Ina majotrooo!MMMBWA nyie aibu imewakumba ndio maana mnaongea km walevi tu;haiwezekani mtani kuliwa daku mzima mzima 2-karai.AIBU kubwa yaan ningekuwa mi ningeshabikia hata LIPULI ya Iringa kuficha hii aibu.
Hongereni simba kwa kutwaa kifuniko sisi tunatwaa makombe na sio vizibo.