Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,591
- 796
Siku zote nyani haoni kundule hivi hawa Yanga wanacho kilalamikia hata sikioni maana wamejawa lawama kama wao ndiyo timu pekee hapa nchini yenye nguvu kuliko timu zozote,wao wanalalamika kuwa kamati imejaa watu wa simba hivi watu hawa wa Simba wanao daiwa wamejaa kwenye kamati si ndiyo hawa hawa waliokubali gori la mkono la Tambwe?pia hawa hawa wanao daiwa watu wa simba si ndiyo walihamisha mchezo wa ndanda fc vs Yanga kutoka Mtwara kuja Dsm? na yanga wakafurahia huku wengine wakikwazika? hawa hawa wanadaiwa ni watu wa simba sindiyo wamelilifumbia macho swala la Tambwe kumshika sehemu za siri Juuko wa Simba na Yanga hawakuzungumza chochote au na hili hawakuliona?
Bado ndani ya kamati ya mashindano hii kamati inaundwa kwa uwiano sawa wa viongozi wa simba na yanga kwani mwenyekiti ni Kaburu wa simba na makamu ni Sanga makamu mwenyekiti wa Yanga na wajumbe ni( Mgoyi simba,)(mosha Yanga)(Sefu magari Yanga) kwahiyo hapa huwezi kupitisha kitu bila wao kukubaliana na hawa wote walipitisha kuchagua mechi pindi unapokuwa na kadi tatu za njano.Mi naona Yanga wao wacheze mpira tu kwani hii kamati ya mashindano ndiyo iliyokuwa inanajisi sheria na kanuni za kubadirisha ratiba kila uchwao mpaka simba wakawa wanalakamika wao wakifurahia tu lakini leo NYANI HAONI KUNDULE
Kuhusu swala eti Simba kwenye kamati wapo wengi ni uongo na uzushi mkubwa na kutaka kiwapotosha wa Tanzania hususani wa penda soka,eti wana lalamika kuwa simba inabebwa hivi vyura wanaakili kweli??katika mechi zao 5 walizo cheza marefa 4 wamesimamishwa kutokana na marefa hao kunajisi sheria zilizopo nakuufanya ukweli kuwa uongo mfano Mechi kati ya Mbeya city vs Yanga refa kafungiwa baada ya mbeya city kukalamikia maamuzi,mechi kati ya simba na yanga ya gori la mkono refa kafungiwa kutokana na refa kuruhusu gori la mkono la Tambwe,mchi kati ya Yanga vs Maji maji refa kafungiwa kisa ni maji maji kulalamikia maamuzi ya refa kuibeba yanga,mechi kati ya Yanga vs Stand fc refa kafungiwa hii ni kutokana na refa kuubatilisha ukweli kuwa uongo,sasa ukiangalia kwa umakini utajua ni nani anae bebwa kati ya simba na Yanga!!???
mi naona Yanga waache kulalamika na kutaka sheria na kanuni za soka zinajisiwe na ziwe za uongo ilihali ni kweli kuwa FAKHI anakadi 3 na akizipata kwenye mechi zifuatazo za ligi kuu mchezo namba
(1) 122 KAGERA VS MBEYA CITY TAREHE 17 DECEMBER DK YA 24,
mechi nyingine ni namba 165 KAGERA vs AFRICAN LYON
TAREHE 18/ 01/2017 DAKIKA 74
Na mchezo mwingine ni namba 190 KAGERA vs MAJI MAJI TAREHE 4/3/2017 DK 50 ,ukitazama hapo hakuna mechi hata moja ya FA, mi naona yanga kupitia huyo bwana mdogo Mkemi watulie tu hawana hoja.
KWELI NYANI HAONI KUNDULE
Bado ndani ya kamati ya mashindano hii kamati inaundwa kwa uwiano sawa wa viongozi wa simba na yanga kwani mwenyekiti ni Kaburu wa simba na makamu ni Sanga makamu mwenyekiti wa Yanga na wajumbe ni( Mgoyi simba,)(mosha Yanga)(Sefu magari Yanga) kwahiyo hapa huwezi kupitisha kitu bila wao kukubaliana na hawa wote walipitisha kuchagua mechi pindi unapokuwa na kadi tatu za njano.Mi naona Yanga wao wacheze mpira tu kwani hii kamati ya mashindano ndiyo iliyokuwa inanajisi sheria na kanuni za kubadirisha ratiba kila uchwao mpaka simba wakawa wanalakamika wao wakifurahia tu lakini leo NYANI HAONI KUNDULE
Kuhusu swala eti Simba kwenye kamati wapo wengi ni uongo na uzushi mkubwa na kutaka kiwapotosha wa Tanzania hususani wa penda soka,eti wana lalamika kuwa simba inabebwa hivi vyura wanaakili kweli??katika mechi zao 5 walizo cheza marefa 4 wamesimamishwa kutokana na marefa hao kunajisi sheria zilizopo nakuufanya ukweli kuwa uongo mfano Mechi kati ya Mbeya city vs Yanga refa kafungiwa baada ya mbeya city kukalamikia maamuzi,mechi kati ya simba na yanga ya gori la mkono refa kafungiwa kutokana na refa kuruhusu gori la mkono la Tambwe,mchi kati ya Yanga vs Maji maji refa kafungiwa kisa ni maji maji kulalamikia maamuzi ya refa kuibeba yanga,mechi kati ya Yanga vs Stand fc refa kafungiwa hii ni kutokana na refa kuubatilisha ukweli kuwa uongo,sasa ukiangalia kwa umakini utajua ni nani anae bebwa kati ya simba na Yanga!!???
mi naona Yanga waache kulalamika na kutaka sheria na kanuni za soka zinajisiwe na ziwe za uongo ilihali ni kweli kuwa FAKHI anakadi 3 na akizipata kwenye mechi zifuatazo za ligi kuu mchezo namba
(1) 122 KAGERA VS MBEYA CITY TAREHE 17 DECEMBER DK YA 24,
mechi nyingine ni namba 165 KAGERA vs AFRICAN LYON
TAREHE 18/ 01/2017 DAKIKA 74
Na mchezo mwingine ni namba 190 KAGERA vs MAJI MAJI TAREHE 4/3/2017 DK 50 ,ukitazama hapo hakuna mechi hata moja ya FA, mi naona yanga kupitia huyo bwana mdogo Mkemi watulie tu hawana hoja.
KWELI NYANI HAONI KUNDULE