Yanga wamemfukuza kocha

mxiii ndo maana hatutapata mafanikio kamwe, kocha akiwabana wachezaji basi uongozi hautaki haijaanza leo toka enzi za Tambwe Leya aliwapigisha mazoezi wachezaji wakatenguka ma ankle wakaanza majungu Yanga wakaona tambwe hafai, sasa huyui kocha makini ambaye hatafuni maneno, aisee Simba funga Yanga bao kumi tukome huu ujinga wa kulemba lemba. sasa walitaka kocha asifie tuu kiwango kidogo cha wachezaji mxiii Yanga HOVYOOOOO hata km ni timu yangu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom