Yanga tumekuwa wakiwa sana tangu Hans aondoke Yanga na Lwandamina kukabidhiwa mikoba.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,427
21,118
Kiukweli timu ya dar es salaam Young Africans(Yanga) tangu wamnyang'anye mikoba Hans Van Pluijm na kumkabidhi George Lwandamina mambo yamekuwa hovyo kila kukicha.

Mpaka sasa viwango vya wachezaji kama Juma Abdul,Donald Ngoma,Kelvin Yondan na Juma Mahadhi havionekani kabisa yote haya kwa sababu ya ubovu wa huyu kocha.

Sana sana ngoma ndo kaisha kabisa hana makali kabisa kama yale ya kipindi kile cha Hans Pluijm.

Yanga kila kukicha inazidi kuwa timu mbovu,hata aina ya ushindi wanaopata ni kiduchu sana ,mpira wanaocheza hauvutii kabisa na wanacheza kana kwamba timu bado ni ngeni kwenye ligi kuu.

Kikubwa cha kushukuru ni ubora wa kipa tuliyempata bila hivyo tungekuwa tunaoga mvua ya magoli kila kukicha.


Natamani leo kesho huyu bundi(lwandamina) anayetujaribia timu yetu aondoke.


Yanga tumekuwa wakiwa sana tangu Hans aondoke Yanga na Lwandamina kukabidhiwa mikoba.
 
Tangu hapo Gongowazi mpira hawajui. Ni kuruka ruka tuu uwanjani na figisu figisu
 
Yanga sasa hivi inabebwa na Kamusoko tu ndiye mchezaji anaonyesha uhai kwa anavyochezesha ,wachezaji wengi wameflop kama Ngoma yupo hovyo,Juma Abdul kapoteza form yupo kawaida saizi

Mfano kamusoko aumie leo basi yanga haitokuwa tofauti na mtibwa
 
Jumlisha malinzi na kuwabeba na kanji kununua waamuzi hata has Wa mechi za simba!!malipo Ni hapa hapa duniani..wote wako segedance!!
 
Mi kwa maoni yangu, Plujim alikua kocha mzuri na katupa mafanikio ila m naona team ilikua ime stack yan haiendi tena mbele, imedumaa. Tunacheza ligi ya mabingwa kila siku hatuna mafanikio ata robo hatufiki tulikua tunahitaji kocha ambae atatusaidia kufanya vizuri ligi ya mabingwa Africa.
 
Mi kwa maoni yangu, Plujim alikua kocha mzuri na katupa mafanikio ila m naona team ilikua ime stack yan haiendi tena mbele, imedumaa. Tunacheza ligi ya mabingwa kila siku hatuna mafanikio ata robo hatufiki tulikua tunahitaji kocha ambae atatusaidia kufanya vizuri ligi ya mabingwa Africa.
So kwa muono wako rwandamila sijui nani uyo atatuvusha uko tunakotaka????..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli timu ya dar es salaam Young Africans(Yanga) tangu wamnyang'anye mikoba Hans Van Pluijm na kumkabidhi George Lwandamina mambo yamekuwa hovyo kila kukicha.

Mpaka sasa viwango vya wachezaji kama Juma Abdul,Donald Ngoma,Kelvin Yondan na Juma Mahadhi havionekani kabisa yote haya kwa sababu ya ubovu wa huyu kocha.

Sana sana ngoma ndo kaisha kabisa hana makali kabisa kama yale ya kipindi kile cha Hans Pluijm.

Yanga kila kukicha inazidi kuwa timu mbovu,hata aina ya ushindi wanaopata ni kiduchu sana ,mpira wanaocheza hauvutii kabisa na wanacheza kana kwamba timu bado ni ngeni kwenye ligi kuu.

Kikubwa cha kushukuru ni ubora wa kipa tuliyempata bila hivyo tungekuwa tunaoga mvua ya magoli kila kukicha.


Natamani leo kesho huyu bundi(lwandamina) anayetujaribia timu yetu aondoke.


Yanga tumekuwa wakiwa sana tangu Hans aondoke Yanga na Lwandamina kukabidhiwa mikoba.
Naindelee kupotea aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom