bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,160
- 20,055
Wasemaji wa nini yaani bongo kuna ujinga mwingi, teams zicheze mpira matokeo yaonekane , huyo Manara mwenyewe alikua ana jimwambafy ndio source ya kujaza uwanja juzi kati hapa team iliyumba mashabiki wakapungua uwanjani , kama wasemaji wangekua wanasaidia club bingwa Africa ingekua simba lkn mpira hauna hayo makitu yenu let's play football not politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app