GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Baada ya Azam FC kumalizana na Donald Ngoma na muda si mrefu wanaenda kumalizana na akina Thabani Kamusoko na Kelvin Yondani taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kwamba muda wowote Kiungo Papy Tshishimbi na Mshambuliaji Obren Chirwa wanasaini kuichezea Simba SC.
Je Yanga SC itakuwepo mwakani?
Poleni sana Yanga. Mlianza sasa tunamaliza kudadeki.
Mpaka mje mtuombe radhi Simba SC ndipo tunaweza kufikiria kuwasamehe ila nina uhakika kwa kuondoka kwa Ngoma, Kamusoko, Yondani, Tshishimbi na Chirwa tayari Yanga SC imeshashuka daraja rasmi katika Ligi Kuu ya msimu ujao wa 2018 / 2019.
Kama ambavyo mlitutesa Simba SC kwa akina Kelvin Yondan na Mbuyi Twite kupitia ' Tajiri ' wenu Yusuph Manji sasa nasi Simba SC kupitia si tu Tajiri bali ni ' Bilionea ' Mohamed Dewji sasa tumeamua kulipiza Kisasi na najua kuwa kwa taarifa hii ya Tshishimbi na Chirwa kusaini Simba SC muda wowote kuanzia sasa litakuwa ni ' Pigo ' moja takatifu kwa Yanga SC huku niamini kuwa muda wowote ule ' Bakora ' zitaanza kutembea pande za mitaa ya Twiga na Jangwani.
Wana Simba SC popote pale mlipo kaeni tayari kuwapokea hawa Wachezaji wawili akina Tshishimbi na Chirwa kwani tayari ' almost done deal ' na mliokuwa leo maeneo ya Posta karibu na Ofisi ya ' Bilionea ' kuna mambo mliyaona. Simba SC sasa hivi hatutanii na tunatumia Pesa kwa raha zetu na mtatutambua mwakani.
Simba SC 2018 / 2019
Nawasilisha.
Je Yanga SC itakuwepo mwakani?
Poleni sana Yanga. Mlianza sasa tunamaliza kudadeki.
Mpaka mje mtuombe radhi Simba SC ndipo tunaweza kufikiria kuwasamehe ila nina uhakika kwa kuondoka kwa Ngoma, Kamusoko, Yondani, Tshishimbi na Chirwa tayari Yanga SC imeshashuka daraja rasmi katika Ligi Kuu ya msimu ujao wa 2018 / 2019.
Kama ambavyo mlitutesa Simba SC kwa akina Kelvin Yondan na Mbuyi Twite kupitia ' Tajiri ' wenu Yusuph Manji sasa nasi Simba SC kupitia si tu Tajiri bali ni ' Bilionea ' Mohamed Dewji sasa tumeamua kulipiza Kisasi na najua kuwa kwa taarifa hii ya Tshishimbi na Chirwa kusaini Simba SC muda wowote kuanzia sasa litakuwa ni ' Pigo ' moja takatifu kwa Yanga SC huku niamini kuwa muda wowote ule ' Bakora ' zitaanza kutembea pande za mitaa ya Twiga na Jangwani.
Wana Simba SC popote pale mlipo kaeni tayari kuwapokea hawa Wachezaji wawili akina Tshishimbi na Chirwa kwani tayari ' almost done deal ' na mliokuwa leo maeneo ya Posta karibu na Ofisi ya ' Bilionea ' kuna mambo mliyaona. Simba SC sasa hivi hatutanii na tunatumia Pesa kwa raha zetu na mtatutambua mwakani.
Simba SC 2018 / 2019
- Aishi Manula
- Shomari Kapombe ' Kiraka '
- Asante Kwasi
- Paul Bukaba
- Erasto Nyoni
- Jonas Mkude
- Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ' Niyo Fabregas '
- Papy Kabamba Tshishimbi
- Obren Chirwa
- John Raphael Boko ' Adebayor '
- Emanuel Okwi
Nawasilisha.