Yanga SC kushuka daraja mwakani!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Baada ya Azam FC kumalizana na Donald Ngoma na muda si mrefu wanaenda kumalizana na akina Thabani Kamusoko na Kelvin Yondani taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kwamba muda wowote Kiungo Papy Tshishimbi na Mshambuliaji Obren Chirwa wanasaini kuichezea Simba SC.

Je Yanga SC itakuwepo mwakani?

Poleni sana Yanga. Mlianza sasa tunamaliza kudadeki.

Mpaka mje mtuombe radhi Simba SC ndipo tunaweza kufikiria kuwasamehe ila nina uhakika kwa kuondoka kwa Ngoma, Kamusoko, Yondani, Tshishimbi na Chirwa tayari Yanga SC imeshashuka daraja rasmi katika Ligi Kuu ya msimu ujao wa 2018 / 2019.

Kama ambavyo mlitutesa Simba SC kwa akina Kelvin Yondan na Mbuyi Twite kupitia ' Tajiri ' wenu Yusuph Manji sasa nasi Simba SC kupitia si tu Tajiri bali ni ' Bilionea ' Mohamed Dewji sasa tumeamua kulipiza Kisasi na najua kuwa kwa taarifa hii ya Tshishimbi na Chirwa kusaini Simba SC muda wowote kuanzia sasa litakuwa ni ' Pigo ' moja takatifu kwa Yanga SC huku niamini kuwa muda wowote ule ' Bakora ' zitaanza kutembea pande za mitaa ya Twiga na Jangwani.

Wana Simba SC popote pale mlipo kaeni tayari kuwapokea hawa Wachezaji wawili akina Tshishimbi na Chirwa kwani tayari ' almost done deal ' na mliokuwa leo maeneo ya Posta karibu na Ofisi ya ' Bilionea ' kuna mambo mliyaona. Simba SC sasa hivi hatutanii na tunatumia Pesa kwa raha zetu na mtatutambua mwakani.

Simba SC 2018 / 2019
  1. Aishi Manula
  2. Shomari Kapombe ' Kiraka '
  3. Asante Kwasi
  4. Paul Bukaba
  5. Erasto Nyoni
  6. Jonas Mkude
  7. Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ' Niyo Fabregas '
  8. Papy Kabamba Tshishimbi
  9. Obren Chirwa
  10. John Raphael Boko ' Adebayor '
  11. Emanuel Okwi
Kwa Kikosi chetu hiki Kipya cha Msimu ujao niwaombe tu TFF watukabidhi mapema Kombe letu kwani kuna uwezekano mkubwa sana Simba SC tukachukua ' Ubingwa ' zikiwa zimebaki mechi 15 huku idadi ya magoli yetu ya Kufunga yakiwa 203 na ya kufungwa yakiwa ni 0.

Nawasilisha.
 
Baada ya Azam FC kumalizana na Donald Ngoma na muda si mrefu wanaenda kumalizana na akina Thabani Kamusoko na Kelvin Yondani taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kwamba muda wowote Kiungo Papy Tshishimbi na Mshambuliaji Obren Chirwa wanasaini kuichezea Simba SC.

Je Yanga SC itakuwepo mwakani?

Poleni sana Yanga. Mlianza sasa tunamaliza.
adui yako mwombee njaa....yanga mpigieni magoti mzee Mengi aje kuwaokoa....
 
adui yako mwombee njaa....yanga mpigieni magoti mzee Mengi aje kuwaokoa....

Wameshachelewa Mkuu. Hao ' Wapuuzi ' Yanga SC walitutesa na kutunyanyasa mno wakati wa Awamu ya mwana Yanga SC mwenzao na yule ' Tajiri ' uchwara wao wa Kihindi sasa na Sisi Simba SC huu ni wakati wetu ' Kuwatesa ' na kulipiza ' Kisasi ' hasa ukizingatia kuanzia Mzee Mzima wa Magogoni mwenye Awamu yake sasa, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Naibu wake, Waziri wa Michezo, 75 ya Baraza la Mawaziri la sasa ni Mnyama Mnyamani bila kusahau Rais wa TFF, Kaimu Katibu Mkuu wa TFF pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nao wote ni wana Simba SC ( Mnyama Mnyamani )

Hapo nyuma nilikuwa siuelewi huu msemo wa Kizungu usemao " a one who laugh later laughs better " kwamba " achekae mwisho hucheka zaidi " ila kupitia hiki ambacho Simba SC imemua kukifanya na kujibu ' mapigo ' sasa nimeuelewa rasmi huo msemo.

Tutaheshimiana chini ya Awamu hii ya Tano na Uongozi huu wa sasa wa TFF Kudadadeki.

This is Simba!!!!!!!
 
Wameshachelewa Mkuu. Hao ' Wapuuzi ' Yanga SC walitutesa na kutunyanyasa mno wakati wa Awamu ya mwana Yanga SC mwenzao na yule ' Tajiri ' uchwara wao wa Kihindi sasa na Sisi Simba SC huu ni wakati wetu ' Kuwatesa ' na kulipiza ' Kisasi ' hasa ukizingatia kuanzia Mzee Mzima wa Magogoni mwenye Awamu yake sasa, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Naibu wake, Waziri wa Michezo, 75 ya Baraza la Mawaziri la sasa ni Mnyama Mnyamani bila kusahau Rais wa TFF, Kaimu Katibu Mkuu wa TFF pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nao wote ni wana Simba SC ( Mnyama Mnyamani )

Hapo nyuma nilikuwa siuelewi huu msemo wa Kizungu usemao " a one who laugh later laughs better " kwamba " achekae mwisho hucheka zaidi " ila kupitia hiki ambacho Simba SC imemua kukifanya na kujibu ' mapigo ' sasa nimeuelewa rasmi huo msemo.

Tutaheshimiana chini ya Awamu hii ya Tano na Uongozi huu wa sasa wa TFF Kudadadeki.

This is Simba!!!!!!!

Mkuu,a one........siyo kiingereza ,umezingua au ndo Yale aliyoyasema mwana msimbazi mwenzio Rage?
 
Tshishimbi kamaliza mkataba Yanga?
Vp kuhusu Kichuya simuoni hapo.. au safari ya Tp mazembe imefika.

This is Simba
 
hapo kwa yanga sion wa kuchukua,

tutulie simba, tuchukue damu changa, ina maana zile sampo za kina samatta hakuna hapa bongo?

hao tunao wachukua kutoka yanga wamefikia mwisho wa uwezo wao,,

hivi hamuon mambo ya TP mazembe wanavosajili?

pale simba bado sijaona wa kumshauri MO,
 
Quality Group Limited is Tanzania's largest conglomerate with 17 companies in the automotive, engineering products, international trade, logistic solutions and warehousing, real estate development, food processing, consulting, transport, aluminiumand fisheries sectors...Kawadanganye wanywa kahawa wenzako..kama ulikuwa hujui Manji ndio tajiri namba moja Tanzania... Quality Group ina thamani ya 13 Billion's... Tigo peke yake Manji anamiliki 99% ina thamani ya $ 1.4billion...Muulize Mo anavyomuogopa Yusuf.....alafu kuna jitu lingine lingine linaitwa Shubhash Patel hatari...wote wanarudi kundini 10 June....alafu Chirwa mchukueni hana hata footwork nzuri...Tshitshimbi hamuwezi kuvunja mkataba wake...
 
Baada ya Azam FC kumalizana na Donald Ngoma na muda si mrefu wanaenda kumalizana na akina Thabani Kamusoko na Kelvin Yondani taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kwamba muda wowote Kiungo Papy Tshishimbi na Mshambuliaji Obren Chirwa wanasaini kuichezea Simba SC.

Je Yanga SC itakuwepo mwakani?

Poleni sana Yanga. Mlianza sasa tunamaliza kudadeki.

Mpaka mje mtuombe radhi Simba SC ndipo tunaweza kufikiria kuwasamehe ila nina uhakika kwa kuondoka kwa Ngoma, Kamusoko, Yondani, Tshishimbi na Chirwa tayari Yanga SC imeshashuka daraja rasmi katika Ligi Kuu ya msimu ujao wa 2018 / 2019.

Kama ambavyo mlitutesa Simba SC kwa akina Kelvin Yondan na Mbuyi Twite kupitia ' Tajiri ' wenu Yusuph Manji sasa nasi Simba SC kupitia si tu Tajiri bali ni ' Bilionea ' Mohamed Dewji sasa tumeamua kulipiza Kisasi na najua kuwa kwa taarifa hii ya Tshishimbi na Chirwa kusaini Simba SC muda wowote kuanzia sasa litakuwa ni ' Pigo ' moja takatifu kwa Yanga SC huku niamini kuwa muda wowote ule ' Bakora ' zitaanza kutembea pande za mitaa ya Twiga na Jangwani.

Wana Simba SC popote pale mlipo kaeni tayari kuwapokea hawa Wachezaji wawili akina Tshishimbi na Chirwa kwani tayari ' almost done deal ' na mliokuwa leo maeneo ya Posta karibu na Ofisi ya ' Bilionea ' kuna mambo mliyaona. Simba SC sasa hivi hatutanii na tunatumia Pesa kwa raha zetu na mtatutambua mwakani.

Simba SC 2018 / 2019
  1. Aishi Manula
  2. Shomari Kapombe ' Kiraka '
  3. Asante Kwasi
  4. Paul Bukaba
  5. Erasto Nyoni
  6. Jonas Mkude
  7. Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ' Niyo Fabregas '
  8. Papy Kabamba Tshishimbi
  9. Obren Chirwa
  10. John Raphael Boko ' Adebayor '
  11. Emanuel Okwi
Kwa Kikosi chetu hiki Kipya cha Msimu ujao niwaombe tu TFF watukabidhi mapema Kombe letu kwani kuna uwezekano mkubwa sana Simba SC tukachukua ' Ubingwa ' zikiwa zimebaki mechi 15 huku idadi ya magoli yetu ya Kufunga yakiwa 203 na ya kufungwa yakiwa ni 0.

Nawasilisha.
Ila sio kikosi cha kushindana afrika hiki. Hakuna haja ya kuchukua wa yanga na umri umeenda. TUvuke boda na kuchukua majembe ya kushindana afrika.
 
Day dreaming does not break any law.
Labda hela za Mo ni majini. Au wajanja wanapiga dili
Kwa bei ya billion 20, Simba could be the cheapest club in among the top four in Tanzania. Value ya Mbeya City ni 100 billions!
Siku si nyingi, Mo ataiuza Simba more than 50 billions.
Mark my words for your future reference.
 
Wameshachelewa Mkuu. Hao ' Wapuuzi ' Yanga SC walitutesa na kutunyanyasa mno wakati wa Awamu ya mwana Yanga SC mwenzao na yule ' Tajiri ' uchwara wao wa Kihindi sasa na Sisi Simba SC huu ni wakati wetu ' Kuwatesa ' na kulipiza ' Kisasi ' hasa ukizingatia kuanzia Mzee Mzima wa Magogoni mwenye Awamu yake sasa, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Naibu wake, Waziri wa Michezo, 75 ya Baraza la Mawaziri la sasa ni Mnyama Mnyamani bila kusahau Rais wa TFF, Kaimu Katibu Mkuu wa TFF pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nao wote ni wana Simba SC ( Mnyama Mnyamani )

Hapo nyuma nilikuwa siuelewi huu msemo wa Kizungu usemao " a one who laugh later laughs better " kwamba " achekae mwisho hucheka zaidi " ila kupitia hiki ambacho Simba SC imemua kukifanya na kujibu ' mapigo ' sasa nimeuelewa rasmi huo msemo.

Tutaheshimiana chini ya Awamu hii ya Tano na Uongozi huu wa sasa wa TFF Kudadadeki.

This is Simba!!!!!!!
Tifutifu na mkulu wa kaya wote simba na ndo maana wakaanza na kumdhoofisha Manji...upo?
 
Back
Top Bottom