Yanga na simba sote ni ndugu

Yanga na simba sote ni ndugu

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
408
Reaction score
182
Ndugu zangu tuweke pembeni tofauti zetu. Mafanikio ya klabu yoyote ni sifa kwa taifa, japokuwa kwa upande fulani itakupain. Tuweke tofauti zetu kwenye vodacom ligi. Mungu zibariki simba na yanga. Mungu ibariki tanzania. Ushindi daima. TWAWEZA
 
Back
Top Bottom