The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Yanga wako kwenye mchakato wa kutafuta nyimbo ya timu..
sasa kwa nini wasitumie ile nyyimbo ya pepe kale aliyowaimbia?
na je nyimbo za r&b kweli zitawafaa?
au kwanini wasiwaambie sikinde ambao wanafahamika kwa kuisapoti yanga waitungie nyimbo?
au shabiki na mjumbe wa timu yao Mzee Yusuph????
hivi hili zoezi lina maana kweli?????????
sasa kwa nini wasitumie ile nyyimbo ya pepe kale aliyowaimbia?
na je nyimbo za r&b kweli zitawafaa?
au kwanini wasiwaambie sikinde ambao wanafahamika kwa kuisapoti yanga waitungie nyimbo?
au shabiki na mjumbe wa timu yao Mzee Yusuph????
hivi hili zoezi lina maana kweli?????????