kama wale wazanzibari wanavyoomba waachwe wapumue, na mimi nawaomba yanga na uongozi wao waiache simba ipumueee, wametengeneza mgogoro wa wachezaji na pia wanazipanga timu zinazokutana na simba zinakaza sana, jamani yanga iacheni simba ipumue.
i hate manji. ana mbinu chafu na za kitoto. even mr 'nyingi' hates him
i hate manji. ana mbinu chafu na za kitoto. even mr 'nyingi' hates him
kama wale wazanzibari wanavyoomba waachwe wapumue, na mimi nawaomba yanga na uongozi wao waiache simba ipumueee, wametengeneza mgogoro wa wachezaji na pia wanazipanga timu zinazokutana na simba zinakaza sana, jamani yanga iacheni simba ipumue.
pole sana ndugu ila ombi lako halikubaliki hata kidogo, kilichopo ni kukaza zaidi mpaka kitakapoeleweka. Daima mbele, nyuma mwiko.
Sasa kama hivi ndivyo soka la bongo lina raha gani? kama kweli wachezaji wanacheza chini ya kiwango eti kwasababu Manji kawahonga wafanye hivyo basi nadiriki kusema Manji hana akili wala hao wachezaji hawana akili, inawezekana vp ukazembea kufanya kazi inayokupa kula eti kwasababu umehongwa ili uzembee, upuuzi! na kama sababu ni kwamba ndani ya Simba wageni wanathaminiwa kwa upande wa malipo ni kwanini hao wachezaji wasikae chini na viongozi wao wakayamaliza kuliko kususa?
Mpira ni burudani, mpira ni kazi, tunalipa kuja kuangalia mpira tukijua mtatuburudisha na wakati huo nyinyi mupo kazini hatuji uwanjani kuja kuangalia mukicheza mpira kama wagonjwa.
TFF na vyama vyote vya mpira wa miguu pamoja na viongozi wa vilabu vya ligi kuu hembu kaeni chini mujadili mustakabali wa soka letu, kwa dhati kabisa na mujiulize TAIFA hili mumelifanyia nini katika medani ya Soka ulimwenguni, mukigundua hakuna mulichofanya basi tokeni muawaachie wengine.
Pole sana inaonyesha ww sio mdau wa soka maana hujui unachokiongea.YANGA OYEEEEE!!
Mbona hii haujaiweka ki-yanga sema YANGA OYEEEEE!!
kama wale wazanzibari wanavyoomba waachwe wapumue, na mimi nawaomba yanga na uongozi wao waiache simba ipumueee, wametengeneza mgogoro wa wachezaji na pia wanazipanga timu zinazokutana na simba zinakaza sana, jamani yanga iacheni simba ipumue.
Pole sana inaonyesha ww sio mdau wa soka maana hujui unachokiongea.YANGA OYEEEEE!!
i hate manji. ana mbinu chafu na za kitoto. even mr 'nyingi' hates him
Sasa kama hivi ndivyo soka la bongo lina raha gani? kama kweli wachezaji wanacheza chini ya kiwango eti kwasababu Manji kawahonga wafanye hivyo basi nadiriki kusema Manji hana akili wala hao wachezaji hawana akili, inawezekana vp ukazembea kufanya kazi inayokupa kula eti kwasababu umehongwa ili uzembee, upuuzi! na kama sababu ni kwamba ndani ya Simba wageni wanathaminiwa kwa upande wa malipo ni kwanini hao wachezaji wasikae chini na viongozi wao wakayamaliza kuliko kususa?
Mpira ni burudani, mpira ni kazi, tunalipa kuja kuangalia mpira tukijua mtatuburudisha na wakati huo nyinyi mupo kazini hatuji uwanjani kuja kuangalia mukicheza mpira kama wagonjwa.
TFF na vyama vyote vya mpira wa miguu pamoja na viongozi wa vilabu vya ligi kuu hembu kaeni chini mujadili mustakabali wa soka letu, kwa dhati kabisa na mujiulize TAIFA hili mumelifanyia nini katika medani ya Soka ulimwenguni, mukigundua hakuna mulichofanya basi tokeni muawaachie wengine.