Matokeo ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania, ni Yanga ( Al-maaruf Kandambili) wamefungwa 1-0 na Maafande wa polisi Morogoro.
Kandambili ambao wana udhoefu mkubwa wa kufungwa tokea kuanza kwa ligi mwaka huu ambapo hii itakuwa ni mara yao ya 3 kufungwa kwa dose 1-0, kabla ya hapo walifungwa na wauza mitumba wa Ilala Ashanti 1-0 kabla ya kupata dhahma ya wana kimanumanu Coastal Union ya Tanga na kufungwa pia 1-0 na hii gharika iliwaangukia leo kwa polisi moro 1-0.
Tunachukua nafasi hii kuwapa pole kandambili wote wa JF michezo ipo mingi sio lazima soka hata karata pia mchezo jaribuni bahati yenu huko.
Kwa upande mwingine wale wafalme wa kulisakata kabumbu Tanzania Mnyama a.k.a wekundu wa msimbazi Simba Sports Club wametoka sare na Manyema katika mchezo uliotawaliwa na wana wa msimbazi kwa takriban dakika zote 90 lakini bahati haikuwa upande wao.
Kandambili ambao wana udhoefu mkubwa wa kufungwa tokea kuanza kwa ligi mwaka huu ambapo hii itakuwa ni mara yao ya 3 kufungwa kwa dose 1-0, kabla ya hapo walifungwa na wauza mitumba wa Ilala Ashanti 1-0 kabla ya kupata dhahma ya wana kimanumanu Coastal Union ya Tanga na kufungwa pia 1-0 na hii gharika iliwaangukia leo kwa polisi moro 1-0.
Tunachukua nafasi hii kuwapa pole kandambili wote wa JF michezo ipo mingi sio lazima soka hata karata pia mchezo jaribuni bahati yenu huko.
Kwa upande mwingine wale wafalme wa kulisakata kabumbu Tanzania Mnyama a.k.a wekundu wa msimbazi Simba Sports Club wametoka sare na Manyema katika mchezo uliotawaliwa na wana wa msimbazi kwa takriban dakika zote 90 lakini bahati haikuwa upande wao.