Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,049
- 134,354
Kuna kipa wa Dodoma Jiji hakuwahi kucheza mechi 13 lakini akadakishwa mechi ya Uto. Ila mechi iliyofuata ya Mashujaa kipa namba 1 alirudishwa.
Kwao Dodoma Jiji mechi ya Mashujaa ilikuwa muhimu kuliko ya Yanga