Yanayojiri Interview ya Sumatra

Yanayojiri Interview ya Sumatra

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,202
Reaction score
99,941
Post ni mbili ya Consumer Education Officer na Office Attendant. Leo ni kuandika tu.

Applicants ni kama mia mbili hivi.
 
Ndio darasa linapangwa watu waingie sasa na bado wanaendelea kuja. You can see tatizo la ajira lilivyokuwa kubwa
 
Tuombe Mungu kaka,mimi binafsi nilifanya ya Consumer Education Officer mtihani ulikuwa umesimama kuanzia Instructions hadi kukokotoa majibu.
 
Back
Top Bottom