King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Tukitaka kuinusuru UDSM lazima Mukandara awe out no questions.. na atakaye chukua nafasi yake awe ni msomi huru asiyetawaliwa na itikadi za kisiasa
Natumia simu ningekugongea like
Katiba mpya ndo suruhisho,vice cancellor asiteuliwe na rais