Yanayoendelea udsm

Tukitaka kuinusuru UDSM lazima Mukandara awe out no questions.. na atakaye chukua nafasi yake awe ni msomi huru asiyetawaliwa na itikadi za kisiasa

Natumia simu ningekugongea like

Katiba mpya ndo suruhisho,vice cancellor asiteuliwe na rais
 
Wana CDM mpo kazini aha aha ahaa ahaaa mi nawapa moyo endeleeni kugoma ila mkifukuzwa mtafunzwa na Dunia!
 
Nawashukuru wana jf kwakuchangia vzr topic ya jana iliyohusu kwanini ccm waingilie elimu?. Leo siko mbali na mada hyo, ndg zangu hebu tutafakari pamoja toka Jk na M7 wazomewe UDSM, mteule wao mkuu wa chuo hajaacha kuwafukuza wasomi we2. Je kwanini 2sifikiri kuwa anatekeleza maagizo ya aliyezomewa? Kama jk alitaka kuepuka kuzomewa alipaswa atekeleze aliyoahdi, Oh! Hakuna mtoto wamaskini atakayekosa mkopo! Leo weng waliopata mkopo sio walengwa halafu anategemea asizomewe? Alifikiri UDSM ni kama vijijin ambako wamezoea kushangiliwa 2 huku wanakijiji wakiwa wamefunga kanga na vitamba vya ccm? NO!! mlimani nikwa wa2 intellectual wenye uwezo wakuhoji, na hiyo ndo kazi yawasomi kuhoji why this and not that sio kila ki2 ndio mzee! Hakuna, muda waku2mia ujinga wawatz kuwatawala umekwisha Tumeelimika, na bdo CHADEMA WANA2ELIMISHA HDI HUKU VIJIJIN KWE2 NANDO MAANA HATA WASIRA NA NIMROD(Msomi anaeficha elimu yake kwa sababu ya ccm) WALIZOMEWA! Hayo ni manyunyu mvua iko mbioni NAWASILISHA!

we bado zamu yako kurudi kwenu iramba mashariki
 
Nawashukuru wana jf kwakuchangia vzr topic ya jana iliyohusu kwanini ccm waingilie elimu?. Leo siko mbali na mada hyo, ndg zangu hebu tutafakari pamoja toka Jk na M7 wazomewe UDSM, mteule wao mkuu wa chuo hajaacha kuwafukuza wasomi we2. Je kwanini 2sifikiri kuwa anatekeleza maagizo ya aliyezomewa? Kama jk alitaka kuepuka kuzomewa alipaswa atekeleze aliyoahdi, Oh! Hakuna mtoto wamaskini atakayekosa mkopo! Leo weng waliopata mkopo sio walengwa halafu anategemea asizomewe? Alifikiri UDSM ni kama vijijin ambako wamezoea kushangiliwa 2 huku wanakijiji wakiwa wamefunga kanga na vitamba vya ccm? NO!! mlimani nikwa wa2 intellectual wenye uwezo wakuhoji, na hiyo ndo kazi yawasomi kuhoji why this and not that sio kila ki2 ndio mzee! Hakuna, muda waku2mia ujinga wawatz kuwatawala umekwisha Tumeelimika, na bdo CHADEMA WANA2ELIMISHA HDI HUKU VIJIJIN KWE2 NANDO MAANA HATA WASIRA NA NIMROD(Msomi anaeficha elimu yake kwa sababu ya ccm) WALIZOMEWA! Hayo ni manyunyu mvua iko mbioni NAWASILISHA!

Hivi kipindi akina Samuel Sita wanagoma sababu ilikuwa ni nini?
Na je Samuel Sita alivyo goma na wenzie walifukuzwa chuo?
 
akionekana usawa wa kumdunda mdundeni ili ajue kuwa kuchezea maisha ya wasomi cyo fair. au kama vp abaki na waume zao darasa la saba na zezeta wake jk
 
Back
Top Bottom