Yamenikuta jamani!!

Mh!makubw!ila skia mkali madam hapo mwnzo ktk mahucano alikua hana tabia hyo bac jua kushapigwa pini na mjanj kulko ww au alivokwmbia i love u too alikua kakorofishna na boy wk na kw ss washarejean ishort and clear huna chk mkuu but pole cana!
 
Nina wasiwasi atakuwa kaona huna kiwango kama alivo kufikiria ama umemuangusha katka mambo yetu ya wakubwa yaani hukumfikisha zaid ya wakwake na huenda alikuwa anataka kufanya utafiti kama unaweza kumzid
 
Mara nyingi inakuwa hivyo..wanaume mmezidi kudanganya kina dada..alitaka aone pumzi zako..



Kosa kubwa ..huna msimamo



First choice is always right



Nadhani alikuonea huruma..ningekuwa mimi ningekupiga kiibuti kwa kosa la kutokuwa na msimamo..



Hayo ni mawazo yako na wala si yake.. ulitakiwa kujua hilo..
Siyo mingi ati..watu tulifukuza swala miaka.


.. Ulifanya vizuri.. ni tabia mbaya kuhisi jambo usilojijua..


Kipindi cha mpito na kusaga meno..lakini kipindi kizuri cha kujua pumba na mchele


Tafuta ukweli toka kwake.. Keep it at low profile..inawezekana ni wako..lakini pia inawezekana sio wako..usichukue jazba..wanawake wako makini na wanajua wanafanya nini..Kama ameamua anakupiga kibuti basi atakwambia ila fanya kila njia muweke kwenye kona akuambie ukweli na ufunge kitabu ...ukiwa na jazba hatokwambia kama anataka kula hela zako..hatokwambia..yaani atakula hela zako na siku moja atakupiga kibuti..
Tumia busara upate jibu la ndio au hapana yaani kibuti ili kuokoa hela zako..usilazimishe penzi..lakini tafuta ukweli..labda bado anakupenda..

Mkuu wewe ni mwalimu nn?!
Mana umetoa darasa la ukweli hapa lol.
 
Hey bwana mdogo shtuka sasa...Mapenzi kizungumkuti na mara nyingi hupenda usipopendwa na hupendwa usipopenda ndivyo ilivyokutokea wewe.....Sasa basi machungu unayopata sasa hivi ndio yale yale alioyapata yule mpenzi uliyemtamani na kumtelekeza baada ya kumpata mpya(ukipata chungu kipya usikitupe cha zamani)............Ushauri wangu ni huu mpende akupendae asiyekupenda achana naye..Amka jikung'ute mavumbi songa mbele,fanya maisha kwanza wanawake wapo tu tena wengi mno(kama ni mwanafunzi komaa na kitabu na km ni mfanyakazi komaa na kazi)..PIA MUOMBE MUNGU KWA IMANI YAKO AKUPATIE MPENZI MWEMA.
 
Wapo wengi mkuu. Huna haja ya kupoteza muda kwa mtu ambaye tayari kaonyesha hana mpango nawe. Mpishe usepeee!
 
mrudie tu yule mwingine, maybe sasa utauona mvuto baada ya kupata cha moto
 
Back
Top Bottom