agprogrammer
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 468
- 360
Very sorry I had the same story but i thanks God nilikubaliana na hali and now am doing great
Mpelekee zawadi then mchunie. Atakukumbuka maisha yake yote
Achana nae pimbi huyo, atarudi tu baada ya muda...
Btw zawadi bado unazo au ushazigawa?
Nna mpenzi wangu ambaye nimekua nae kwenye mahusiano zaidi ya mwaka mmoja na nusu sasa, miezi miwili iliyopita ofisini nilibaatika kupata nafasi ya kwenda ughaibuni kufanya short course training.
Nakumbuka kipindi naondoka alinisindikiza mpaka airport na aliniaga kwa unyonge sana akasema miez miwili ni mda mrefu sana kuishi maisha ya upweke bila mimi mana alikua ameshanizoea sana.
Nlivyofika ughaibuni nlikua nampigia simu mara mojamoja kwasabu sikuweza kupata simcard ya kule hivyo nlikua naroam kitu ambacho ni expensive kidogo lakin mwenzangu hakuwa anaridhika sana alipenda nimpigie simu maranyingi kuliko kuwasiliana kwa watssap japo nlishamueleza kwanini huwa napiga mara chache
Nimerudi juz na alikuja kunipokea lakin sikuona zile bashasha nlizozoea kwake kwasabu akiwa amenimiss tukionana huwa kumbatio linakua kwa dakika kama kumi ivi lakini siku hyo haikuzidi dakika moja asee na alikua amepooza flan ivi nlijaribu kumdadisi lakin aliishia kusema kwamba yupo kawaida yani yuko poa
Jana asubuhi naamka nakutana na hii text kwenye simu yangu,
" thank u 4 evrthng briz, n um rlly sorry. Something came in,things goes too fast, Napenda kua mkweli imetokea nimempenda mtu mwingine! Am sory."
Nimempigia hapokei tangu jana, nkajikuta tu na mi namtext "All the best", nlitaka nimpigie nimuulize kulikoni lakin naona kama hyo text imejitosheleza kabisa.
Kibaya zaidi ni kwamba nusu ya vitu nlivyokuja navyo ni zawadi zake, hapa nafikiria tu labda nigawie ndugu.
Hivi hapo tatizo itakua ni kutopiga simu tu kama alivyokua anataka au kulishakua na mengine yanaendelea? Lakin sijawahi kudoubt chochote kutoka kwake kwa kweli, sasa sijajua imekuaje. Wataalam na wazoefu wa haya mambo naomba mnijuze
Duuh kweli huyo hakuwa mvumilivu.. 2 months are nothing to me .. Dear furahi kwa truth aliyokupa otherwise ungeteseka .. To me I feel like she was with that person during mkiwa together but she didn't tell you or may be the new guy alikuwa akimfuatilia huyo Dada for so long so for you to be away for 2 months kumemfanya amkubalie Huyo kaka.. There is no way a woman to start a new relationship for 2 months while ulikuwa na mnayependana kwa dhati for almost 2 years, I don't know may be .. Move on forget about her she will soon come back to you Ba kukuomba msamaha because not all men wanaosema I love you , are meant from their heart.. Na akirudi never take her back why? Because she will never be faithful to you.. Kama alishindwa kuvumilia 2 months , do you think ataweza kuvumilia till death do both of you a part, I doubt it.. Thanks..
Ukubwa dawa, huo ndio ukweli. Kama aliweza kumvulia huyo, hashindwi kuwavulia wengine.Wewe ulimpataje wenzako washindwe?
Kama aliweza kukufungilia wewe kufuli lake ujuwe huyo ni mzoefu na wewe ulikuwa wala na wenzako wala pia. Ni uasherati kwa kwenda mbele, hivi hamstuki tu?
Wacheni uzinzi na uasherati oaneni.
Wewe ulimpataje wenzako washindwe?
Kama aliweza kukufungilia wewe kufuli lake ujuwe huyo ni mzoefu na wewe ulikuwa wala na wenzako wala pia. Ni uasherati kwa kwenda mbele, hivi hamstuki tu?
Wacheni uzinzi na uasherati oaneni.
Mmmmmmhhhhhh!!!!
Ukubwa dawa, huo ndio ukweli. Kama aliweza kumvulia huyo, hashindwi kuwavulia wengine.
Hata hivyo, nilisoma sehemu fulani kuwa, wanawake kwa wastani wanatembea na wanaume 6 hadi wanapoolewa.
Uzinzi na uasherati umekuwa fasheni katika kizazi chetu.
Nilitolea mfano wa wanawake, wanaume kwa wastani wanatembea na wanawake 10 kwa mujibu kwa jarida nililosoma, jf imefanya nini, we only share what we know/read, does it affect you?Na wanaume wanatembea na wanawake wangapi kwa wastani?? Teh teh teh jf bwana!