Yameishia wapi???

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931




Mchungaji Mstaafu Ambilikile Masapile akimpa dawa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) William Lukuvi na Rosemary Nyerere baada ya Lukuvi kumaliza kuukagua mtu unaozalisha dawa hiyo.





Mchungaji Mstaafu Mwaisapile akipokea zawadi ya simu ya Mkononi kutoka airtel. anayemkabidhi ni meneja wa biashara wa Airtel Mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu. Kulia DC wa Ngorongoro, Mh. Elias Lala Wawi

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Bw Elias Wawa Lali (katikati), Diwani wa Kata ya Samunge, Bw Jackson Sandea (kulia), Meneja Biashara wa Airtel mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu

 
ilikuwa dawa ya kuwafanya wawe legelege
ndo maana mambo hayaendi

Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!
 
Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!

yAANI TUISHIE KUWAZA "U-CAMERON"
 
Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!

Hili nalo neno!
 
Nguvu ya Soda Pespi kola.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…