KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 852
- 204
Dear Nyerere:
Mlima Kilimanjaro upo Kenya,ziwa Nyasa lipo Malawi,tanzanite ni ya Nairobi,Tanesco ni ya Lowasa na rais anaishi airport.
Zamani ukiongelea kilimo tulikuona kwa vitendo shambani.Siku hizi waheshimiwa wanawekewa red carpet ili wapende miti.
Hukupenda kuuza sura,hatakuona picha yako na Michael Jackson au Phil Collins, ila prezidaa anajiandaa kupiga picha na Lady Gaga.
Siku hizi vijana wengi hatutaki kujituma kazini wala kujitolea kujenga Taifa...tunataka utajiri wa haraka tu.
Vijana wa kiume wazalendo sana.Wanavaa suruali za bluu,kijani,njano na wanavaa za kubana sana ili kubana matumizi ya vitambaa.
Mlima Kilimanjaro upo Kenya,ziwa Nyasa lipo Malawi,tanzanite ni ya Nairobi,Tanesco ni ya Lowasa na rais anaishi airport.
Zamani ukiongelea kilimo tulikuona kwa vitendo shambani.Siku hizi waheshimiwa wanawekewa red carpet ili wapende miti.
Hukupenda kuuza sura,hatakuona picha yako na Michael Jackson au Phil Collins, ila prezidaa anajiandaa kupiga picha na Lady Gaga.
Siku hizi vijana wengi hatutaki kujituma kazini wala kujitolea kujenga Taifa...tunataka utajiri wa haraka tu.
Vijana wa kiume wazalendo sana.Wanavaa suruali za bluu,kijani,njano na wanavaa za kubana sana ili kubana matumizi ya vitambaa.