Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,964
218,794
Wakuu,

Natanguliza salamu , huu ni zaidi ya uchaguzi, ni zaidi ya kuchagua, tupeane taarifa kuanzia maandalizi, ulinzi wa vituo pamoja na mwamko wa wananchi , hatua kwa hatua mpaka matokeo yatakapotangazwa.

Nakala kwa Crashwise na Ephata Nanyaro

====================

Kituo cha kupigia kura cha Faraja - Arusha mwamko si mkubwa kwa tulioko kituoni kwa sasa, tuko kama vijana 50.

Naamini bado watu watakuja, namtakia kila la heri Lema.

 
Chadema itashinda Arusha mjini hapo sielewi kwa nini Mbunge wa Arumeru mashariki kaamua kukaa Kando kwny Josh kampen
 
Kituo cha kupigia kura cha Faraja - Arusha mwamko si mkubwa kwa tulioko kituoni kwa sasa, tuko kama vijana 50.

Naamini bado watu watakuja, namtakia kila la heri Lema.
 
Leo hii wana Arusha tunakwenda kutimiza tu wajibu wa kusimama mistari na kupaka rangi ya kucha kwenye vituo maalum maana tayari kama ni kupiga kura tayari tulisha mchagua mheshimiwa Lema kuwa mbunge wetu.
 
kituo cha sinoni shule ya msingi wapo wapo ila sip kama ule uchaguzi mkuu
 
Hivi mgombea wa ccm anaitwa nani? Alifanya kampeni kweli!!?
 
Kituo cha kupigia kura cha Faraja - Arusha mwamko si mkubwa kwa tulioko kituoni kwa sasa, tuko kama vijana 50.

Naamini bado watu watakuja, namtakia kila la heri Lema.

Hapo kuna heart voters 101 wa CCM wapo njiani wanakuja kufunga hesabu
 
Huyu ndio Mollel Chaguo letu wana A town
Mungu amsaidie sana maana tunaenda kupata mkombozi Kwa vizazi vyetu vijavyo Arusha
 

Attachments

  • 1449980690307.jpg
    27.9 KB · Views: 2,359
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…