Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,281
Waandishi wa habari tuko uwanja wa ndege wa Julius Nyerere terminal 1 wakimsubiri Spika wa Bunge.
Camera zetu pia zipo tayari...
View attachment 487054
Waandishi tunaendelea kusubiri baada ya saa nzima kupita tokea mkutano wa Spika Mh Job Ndugai kutakiwa kuanza uwanja wa ndege
==========
UPDATES
Mpaka huu 10.14 bado Spika Job Ndugai hajafika.
Mkuu wa kitengo cha habari - Bunge Owen Mwamdumbya ametaarifu wanahabari kuwa Spika amefika tayari kwa mahojiano
View attachment 487060
Waandishi tumeshatoka Uwanja wa Ndege tunenda kwenye ziara maalum kwa ajili ya kufanya mahojiano na Spika wa Bunge Mhe Ndugai
Waandishi wa habri tumefikishwa bandarini ofisi za Mamlaka ya Bandari muda huu kwa ajili ya mahojiano na Spika wa Bunge Mh Job Ndugai
Spika Ndugai akiwa na wabunge 10,amefuatana na waandishi hadi Bandari ya Dar,
Waandishi tunamsubiri Spika wa Bunge Mh Ndugai ambaye kwa muda huu ana mazungumzo ya ndani na viongozi wa Mamlaka ya Bandari
Waandishi wa habari tumeshangaa sana tuliambiwa mahojiano yanafanyika airport, tunapelekwa bandarini.
Spika Job Ndugai yuko bandarini kupata maelezo zaidi kuhusu kontena zilizokamatwa zenye mchanga kutoka migodini
Spika Job Ndugai na wabunge wa kamati ya nishati wanafanya ziara Bandari kuu kukagua kontena zilizokamatwa zenye mchanga .
Spika Job Ndugai akipokea maelezo kutoka kwa watendaji wa bandari kwenye kontena zilizozuiliwa.
View attachment 487088
Spika Ndugai anapokea maelezo kutoka uongozi wa bandari kuhusu kontena zilizozuiliwa na sasa anatembelea kontena hizo
==>>Spika Ndugai: Ndugu waandishi mnavyoona hadi Spika nimekuja hapa, jua kuna sintofahamu nyingi.
==>>Spika Ndugai: Baada ya kuona suala hili la makontena nikaona nije ili kujua ukweli. Hili si jambo dogo.Tutaona jinsi gani kuishauri Serikali
==>>Spika Ndugai: Namshukuru Rais Magufuli kuja huku bandarini na ya kuyang'amua makontena 20 ya mchanga.
==>>Spika Ndugai: Tutapenda kujua biashara ya madini kama taifa tunafaidikaje?
==>>Spika Ndugai: Kama Bunge, tutaunda timu ya kuja kutathimini biashara hii ya mchanga na madini kwa ujumla.
==>>Spika Ndugai: Timu hii pia itaangazia hatua za awali toka uchimbaji wa madini hapa nchini hadi huko nje tunapoenda kuyauza.
Baada ya kutembelea bandarini, Spika Ndugai kapanda gari na kuelekea Hoteli ya Serena.
View attachment 487114
Katika siku ambazo waandishi wa habari tumechezewa akili tukio la leo. Tulichoambiwa na ambacho tumeenda kufanya vitu viwili tofauti kabisa. ......
Camera zetu pia zipo tayari...
View attachment 487054
Waandishi tunaendelea kusubiri baada ya saa nzima kupita tokea mkutano wa Spika Mh Job Ndugai kutakiwa kuanza uwanja wa ndege
==========
UPDATES
Mpaka huu 10.14 bado Spika Job Ndugai hajafika.
Mkuu wa kitengo cha habari - Bunge Owen Mwamdumbya ametaarifu wanahabari kuwa Spika amefika tayari kwa mahojiano
View attachment 487060
Waandishi tumeshatoka Uwanja wa Ndege tunenda kwenye ziara maalum kwa ajili ya kufanya mahojiano na Spika wa Bunge Mhe Ndugai
Waandishi wa habri tumefikishwa bandarini ofisi za Mamlaka ya Bandari muda huu kwa ajili ya mahojiano na Spika wa Bunge Mh Job Ndugai
Spika Ndugai akiwa na wabunge 10,amefuatana na waandishi hadi Bandari ya Dar,
Waandishi tunamsubiri Spika wa Bunge Mh Ndugai ambaye kwa muda huu ana mazungumzo ya ndani na viongozi wa Mamlaka ya Bandari
Waandishi wa habari tumeshangaa sana tuliambiwa mahojiano yanafanyika airport, tunapelekwa bandarini.
Spika Job Ndugai yuko bandarini kupata maelezo zaidi kuhusu kontena zilizokamatwa zenye mchanga kutoka migodini
Spika Job Ndugai na wabunge wa kamati ya nishati wanafanya ziara Bandari kuu kukagua kontena zilizokamatwa zenye mchanga .
Spika Job Ndugai akipokea maelezo kutoka kwa watendaji wa bandari kwenye kontena zilizozuiliwa.
View attachment 487088
Spika Ndugai anapokea maelezo kutoka uongozi wa bandari kuhusu kontena zilizozuiliwa na sasa anatembelea kontena hizo
==>>Spika Ndugai: Ndugu waandishi mnavyoona hadi Spika nimekuja hapa, jua kuna sintofahamu nyingi.
==>>Spika Ndugai: Baada ya kuona suala hili la makontena nikaona nije ili kujua ukweli. Hili si jambo dogo.Tutaona jinsi gani kuishauri Serikali
==>>Spika Ndugai: Namshukuru Rais Magufuli kuja huku bandarini na ya kuyang'amua makontena 20 ya mchanga.
==>>Spika Ndugai: Tutapenda kujua biashara ya madini kama taifa tunafaidikaje?
==>>Spika Ndugai: Kama Bunge, tutaunda timu ya kuja kutathimini biashara hii ya mchanga na madini kwa ujumla.
==>>Spika Ndugai: Timu hii pia itaangazia hatua za awali toka uchimbaji wa madini hapa nchini hadi huko nje tunapoenda kuyauza.
Baada ya kutembelea bandarini, Spika Ndugai kapanda gari na kuelekea Hoteli ya Serena.
View attachment 487114
Katika siku ambazo waandishi wa habari tumechezewa akili tukio la leo. Tulichoambiwa na ambacho tumeenda kufanya vitu viwili tofauti kabisa. ......