Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.
Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.
Vita dhidi ya ugaidi ni ngumu sana kuliko vita dhidi ya jeshi kamili. Kumbuka gaza ina watu zaidi ya mil 2 halafu Hamas wamejichanganya na raia wa kawaida so Israel inabidi ajitahidi kupunguza madhara kwa raia ndio maana vita inachukua muda mrefu.
Ila lengo liko pale pale kuutokomeza ugaidi
Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.
Hawa unaobishana nao huwaambii kitu kwa myahudi, hata uwaambie ukweli gani hawakuelewi, wakiona maghorofa yanaangushwa na watoto kufa wanafurahi, yani mkuu hawa watu sio wa kufanyanao urafiki hata kidogo, hawa sio wenzetu.
Hawa unaobishana nao huwaambii kitu kwa myahudi, hata uwaambie ukweli gani hawakuelewi, wakiona maghorofa yanaangushwa na watoto kufa wanafurahi, yani mkuu hawa watu sio wa kufanyanao urafiki hata kidogo, hawa sio wenzetu.
Hawa unaobishana nao huwaambii kitu kwa myahudi, hata uwaambie ukweli gani hawakuelewi, wakiona maghorofa yanaangushwa na watoto kufa wanafurahi, yani mkuu hawa watu sio wa kufanyanao urafiki hata kidogo, hawa sio wenzetu.