ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
huko ndiko kipimo hasa cha ukomavu wa tabia ya mtu. akimaliza pale hajawahi kugawa basi huyo tunasema ameiva.
otherwise kila mahali kuna changamoto zake..ni uvumilivu tu. yaani utamtoa JKT utamrudisha kitaa akiwa anasubiri chuo washikaji wanajipigia tu. akienda chuo kuna malecturer mabazazi vilevile. kama hana msimamo atamegwa kila anapoenda.
Hili jeshi yanayofanyika ni zaidi ya operation tokomeza,ipo siku mtayaona wazi
mwana umeongea la maana sana na tena la mbolea kabisa
anaitwa nani nimpelekee maji ya kunywa?
huko ndiko kipimo hasa cha ukomavu wa tabia ya mtu. akimaliza pale hajawahi kugawa basi huyo tunasema ameiva.
otherwise kila mahali kuna changamoto zake..ni uvumilivu tu. yaani utamtoa JKT utamrudisha kitaa akiwa anasubiri chuo washikaji wanajipigia tu. akienda chuo kuna malecturer mabazazi vilevile. kama hana msimamo atamegwa kila anapoenda.
huko ndiko kipimo hasa cha ukomavu wa tabia ya mtu. akimaliza pale hajawahi kugawa basi huyo tunasema ameiva.
otherwise kila mahali kuna changamoto zake..ni uvumilivu tu. yaani utamtoa JKT utamrudisha kitaa akiwa anasubiri chuo washikaji wanajipigia tu. akienda chuo kuna malecturer mabazazi vilevile. kama hana msimamo atamegwa kila anapoenda.
wacha mchezo jamaa unajua nyie ndo mnanifanya nitamani kumiliki bundukiii
ilikuwa nikamkarimu tu, si unajua Watanzania tuu wakarimu?