Mwanaume wa Shoka
Member
- Feb 15, 2014
- 99
- 17
mm ni fundi niliye jiajiri kazi zangu za gereji nilikuwa na ndugu yangu tunarudi kutoka maangaikoni nikatoa1000 nauli ya ubungo ya kwangu na ndugu yangu mm nikaomba wanishushe Makuburi nikapitilizwa kituo kisa walikuwa wana kimbilia abiria kwani zilikuwa gari mbili za mbagala nilipo omba kurudishiwe nauli wakagoma ikawa niugomvi wa abiria wote wakishinikiza konda na dereva gari lipeleke kibangu polis tukatoa maelezo cha ajabu konda na dereva wakaondoka sisi tukalala ndani hadi leo tumepelekwa mbezi polis kwamba tumesababisha upotevu wa hesabu ya siku ambayo ni 420000 je wanasheria naombeni msaada wenu naambatanisha picha ya gari