Yalinikuta

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,594
215,410
Zile enzi za A-level, nimerudi nyumbani msure hata likizo huwezi kukaa tu lazima uwende tuition sawa baba. Wakati huo ndio nimeanza kuwa na feelings na vijana, kuna handsome boy ndio ameanza kunipigia simu, ninaleta za sitaki nataka, nikiuliuzwa tutaonana lini? Si unajua niko busy.

Basi bwana ninatoka tuition, mitaa ya posta mpya ninasubiri dala dala la kurudi home, nikaamua kununu mihogo ya kukaanga, basi limekuja nimeingia na mihogo yangu nianze kula, khe kutuo cha mlaba mwekundu mkaka ameingia, kumuoana tu moyo ulikua powaa sasa mkaka anione ninakula mihogo kwenye bus, si nilitupa mihogo dirishani, tafuka kitambaa pangusa midomo, vaseline iko wapi tupia.. Alafu mihogo ilikuwa mitamu na mimi nimetoka boarding.
 
Uliitupa badala ya kuifunga tena ukailie Mbele... au ndio kitambo kile ati Una njaa unataka Chips with scrambled eggs na Sun vita ya kushushia
 
Zile enzi za A-level, nimerudi nyumbani msure hata likizo huwezi kukaa tu lazima uwende tuition sawa baba. Wakati huo ndio nimeanza kuwa na feelings na vijana, kuna handsome boy ndio ameanza kunipigia simu, ninaleta za sitaki nataka, nikiuliuzwa tutaonana lini? Si unajua niko busy.

Basi bwana ninatoka tuition, mitaa ya posta mpya ninasubiri dala dala la kurudi home, nikaamua kununu mihogo ya kukaanga, basi limekuja nimeingia na mihogo yangu nianze kula, khe kutuo cha mlaba mwekundu mkaka ameingia, kumuoana tu moyo ulikua powaa sasa mkaka anione ninakula mihogo kwenye bus, si nilitupa mihogo dirishani, tafuka kitambaa pangusa midomo, vaseline iko wapi tupia.. Alafu mihogo ilikuwa mitamu na mimi nimetoka boarding.
 
Mie nilishawahi kupenda mtu on the first sight hadi nikashindwa kula.... nilikuwa kwenye mgahawa nimeagizia chakula ile kimefika nanyanyua una na kisu akaingia mtasha mmoja..... sikuweza kula tena ...nililipa bili nikaondoka baada ya mtasha kuondoka
 
Mie nilishawahi kupenda mtu on the first sight hadi nikashindwa kula.... nilikuwa kwenye mgahawa nimeagizia chakula ile kimefika nanyanyua una na kisu akaingia mtasha mmoja..... sikuweza kula tena ...nililipa bili nikaondoka baada ya mtasha kuondoka
Unaona aibu kula, ooo those were the days.
 
Uliitupa badala ya kuifunga tena ukailie Mbele... au ndio kitambo kile ati Una njaa unataka Chips with scrambled eggs na Sun vita ya kushushia
Focus yangu ni kuwa presentable mbele ya handsome boy, ule utamu ninaukumbuka mpaka leo, bado ninajutia mihogo yangu.
 
Back
Top Bottom