Yahusu vibali vya uhamisho

Yahusu vibali vya uhamisho

Joined
Aug 1, 2013
Posts
89
Reaction score
11
Habari zenu wana JF!

Naomba kuuliza, kama kuna mtu anafahamu tarehe ya kutolewa majina ya uhamisho, namaanisha vibali vya June 2015 anihabarishe. Ni tarehe gani watatoa?

Asanteni.
 
Hii ishu ya vibali ni shida kweli. Kuna mtu ameomba kibali alkambia kitoka baada ya siku 21 za kazi. Zimeisha ameenda haijafanyiwa kazi. Kasubiri wiki mbili zimepita hola. Kaenda tena ameambiwa after 2 weeks
 
Back
Top Bottom