MLEMVYA RASHID
Member
- Aug 1, 2013
- 89
- 11
Habari zenu wana JF!
Naomba kuuliza, kama kuna mtu anafahamu tarehe ya kutolewa majina ya uhamisho, namaanisha vibali vya June 2015 anihabarishe. Ni tarehe gani watatoa?
Asanteni.
Naomba kuuliza, kama kuna mtu anafahamu tarehe ya kutolewa majina ya uhamisho, namaanisha vibali vya June 2015 anihabarishe. Ni tarehe gani watatoa?
Asanteni.