Yahoo mail haifunguki kwenye opera min browser ya simu,solution kwa hili tafadhari.

Yahoo mail haifunguki kwenye opera min browser ya simu,solution kwa hili tafadhari.

the horticulturist

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
1,959
Reaction score
1,929
Natumia blackberry 9800 na mara nyingi najiunga blackberry plan ya 500 kwa siku mbili tatizo nikifungua yahoo mail kwenye opera min inagoma na pia nimejaribu kwenye Lg inayorun android pia imegoma inanipa option ya kudownload application ambayo huwa haimaliza inatoa report ya failed,naomba msaaada wana jamvi na wajuzi pia
 
Natumia blackberry 9800 na mara nyingi najiunga blackberry plan ya 500 kwa siku mbili tatizo nikifungua yahoo mail kwenye opera min inagoma na pia nimejaribu kwenye Lg inayorun android pia imegoma inanipa option ya kudownload application ambayo huwa haimaliza inatoa report ya failed,naomba msaaada wana jamvi na wajuzi pia

Jarb kuistall UC browser zn login
 
[Home]
For your account safety, we temporarily locked your Yahoo account. Please sign in to login.yahoo.com from a desktop computer, tablet, or smartphone to unlock.
Baada ya kutumia ucbrowser ndio imekuwa locked kabisa hapa inabidi niifungue kwa pc sasa so still solution bado
 
Hapo tatizo sio opera mini ni page ya yahoo. Je kwenye notifocation page inayokutaka udownload yahoo app hakuna option ya kubypass hiyo prompt?. Nadhani kuna kitu kama "X" au maneno "continue to mobile page". Click hapo utapelekwa moja kwa moja kwenye inbox.
 
Hapo tatizo sio opera mini ni page ya yahoo. Je kwenye notifocation page inayokutaka udownload yahoo app hakuna option ya kubypass hiyo prompt?. Nadhani kuna kitu kama "X" au maneno "continue to mobile page". Click hapo utapelekwa moja kwa moja kwenye inbox.

Hainipi zaidi ya kutaka kudownload kiapplication ambacho daily huwa kinafail
 
[Home]
For your account safety, we temporarily locked your Yahoo account. Please sign in to login.yahoo.com from a desktop computer, tablet, or smartphone to unlock.
Baada ya kutumia ucbrowser ndio imekuwa locked kabisa hapa inabidi niifungue kwa pc sasa so still solution bado

hawaruhusu proxy yahoo hata kwa pc ukitumia proxy lazima upitishwe kwenye security kwanza. ucweb/opera zinatumia proxy hivyo kupata hio error ni kawaida
 
nenda playstore/bbstore download official app ya yahoo au kama una client ya email add yahoo kama acount email zako zitaingia tu kama txt message
 
nenda playstore/bbstore download official app ya yahoo au kama una client ya email add yahoo kama acount email zako zitaingia tu kama txt message

Shukrani sana Chief huwa nakubali sana post zako everywhere nikiziona,nimejiunga na blackberry service ya mia 5 ambayo haikubali applications zaidi ya applications za charting kutoa za email kama yahoo na gmail,nitahamia kwenye kifurushi cha elfu moja kinayo hiyo service au unasolution ya ziada ya kunipa Chief Mkwawa.
 
Shukrani sana Chief huwa nakubali sana post zako everywhere nikiziona,nimejiunga na blackberry service ya mia 5 ambayo haikubali applications zaidi ya applications za charting kutoa za email kama yahoo na gmail,nitahamia kwenye kifurushi cha elfu moja kinayo hiyo service au unasolution ya ziada ya kunipa Chief Mkwawa.

hebu test hii link
https://login.yahoo.com/m?
 

Kwa Blackberry bado inasumbua Chief ila link inafungua vizur inagoma kuhakiki account option ya select inakuwa haifanyi kazi naona security ndio zina shida maana inaniambia it because na log in na browser ambayo cjawah itumia kabla kesho nitaunga bb plan ya elf huwa inafanya kazi,hivi naweza jiunga nikawa natumia bundle za kawaida kwa opera na whatsapp maana hapa nimeweka setting kama inavyozungumzwa humu kwa ku tick internet option na kuandika internet ila inakubali bundle za kawaida kwa kustream videos youtube kwa applications haikubal na maelezo mengi humu yanataka applications kama opera uingize kwa pc je kwa niliedownload kupitia bbm market nasaidikaje Chief?shukrani in advance
 
Kaka kwa bb mimi sina utaalam sana na hata issue ya kutumia bundle za kawaida kwa bb tofaut na kueka apn ya internet sifahamu.

kwenye hio yahoo solve hio security issue kwanza
 
Kaka kwa bb mimi sina utaalam sana na hata issue ya kutumia bundle za kawaida kwa bb tofaut na kueka apn ya internet sifahamu.

kwenye hio yahoo solve hio security issue kwanza

Nafungue kwenye pc nitoe security nilizoweka,shukrani sana Chief
 
Kuna kipindi flani cha nyuma , yahoo walituma baruapepe yao kuwa kuna baadhi ya simu hazitaweza utumiaji wake .
 
Back
Top Bottom