Kweli mungu alimuumba mwandamu siku ya mwisho kwani vilivyoumbwa kabla ya hapo havina mabadiliko makubwa ya tabia/sifa e.g. Maji, Mwanga, Usiku, n.k. Lakini binadamu wapo warefu na wafupi, wembamba na wanene, wenye hekima na wasiokuwa na hekima kama mbinayamaswa a,k,a jina la kisukuma