Ya Oktoba 29 ndio yashapita hayo

Ya Oktoba 29 ndio yashapita hayo

Kama Isreal na marekani wanaifanya dunia watakavyo nani atamnyooshea kidole mwenziwe?
Kilochabaki ni kumuomba mungu yasitokee. Kama Isreal na marekani wanaficha idadi ya wanajeshi na raia wao waliokufa. Basi na ya October 29 ndio hivyo hivyo
Kameze dawa ulale. Umevurugwa na malaria
 
Kama Isreal na Marekani wanaifanya dunia watakavyo nani atamnyooshea kidole mwenziwe?
Kilochabaki ni kumuomba mungu yasitokee. Kama Isreal na Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi na raia wao waliokufa. Basi na ya October 29 ndio hivyo hivyo
Usijilinganishe na israel na america, tafuta ligi saizi yako
 
Back
Top Bottom