Siyo kazi nyepesi kubambikizia kesi za UONGO wewe!Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Kama kuna mahali tuliteleza na kuhusu huyu mzee mbowe hakustahili kuwa huru hata kidogoMadeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Acha yampate hata zaidi mtovu wa shukran na adabu.Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Acha upumbavu huu,hii sio police state wala banana country, ni haki yake Mr.MBOWE kuongea na kupigania anachakiamini, wewe zuzu lenye uoga endelea kuwa warrior wa JF kwenye soft landing, Mr.Mbowe amekaa rumande zaidi ya 250 day's ,wewe ukiwa umefwata mkia wako kuogopa nafsi yako
Kweli mliteleza ngoja awakimbizeKama kuna mahali tuliteleza na kuhusu huyu mzee mbowe hakustahili kuwa huru hata kidogo
Awakimbize akina nani sasa si atahifadiwa tu mambo yataendelea kama kawaidi. Who is Mbowe katka hii kantre?Kweli mliteleza ngoja awakimbize
Watu milioni 60 ni wengi sana.Mkifanikiwa,
Mawe yatapiga kelele ikibidi.
KWELI na HAKI HAVIZUILIKI, asili yake ni Mbinguni.
Lkn siyo kama akina madeleka! Mwana kulitafuta..............Watu milioni 60 ni wengi sana.
Hatuwezi kukosa majasiri wawili watatu wa kulipigania na kulitetea Taifa hili.
vipi kuhusu sabaya ?Madeleka yamemkuta; kashinda rufaa, kasindwa kupata kusafishwa kuwa hajawahi kufungwa kwa kosa la jinai. Mahakama imesema kama anataka kuonekana hajawahi kupatikana na kosa la jinai- kesi yake isikilizwe upya.
Kesi yake ilikuwa ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
Kwa misingi hiyo polisi imebidi wachukue mtu wao, wanae, na kesi itaendelea.
Hili linaibua kesi ya ugaidi ya Mbowe; Mbowe alipatikana na kesi ya kujibu; serikali ilipopata uamuzi huo ikaondoa kesi mahakamani.
Ajabu na kwa mashangao mkubwa, mawakili wa utetezi wakashangilia kana kwamba wameshinda kesi.
Nadhani ipo siku mazingira yatajijenga, kesi itafufuka.
Yupo safi na kwa ujinga wa CHADEMA kwa sasa atalamba u dc wa hai tena ili akampe adabu nzuri kabisa Mbowe.vipi kuhusu sabaya ?