Hela za wazungu zilishafika na ndo maana Mh. Lembeli alisema na watumishi wa KINAPA mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili kua pesa ilishatengwa hivyo kama hamjalipwa ni kosa coz pesa zilikua tayari zipo. i wonder why they did pay those guys hyo pesa imepitishwa wapi?? Njoo KHAGASHEKI utupe hela yetu ujiuzulu kwa amani japo wamekuonea