calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 271
Katika mwaka huu tumepoteza wachapakazi wawili hawa kwa sababu hawakutaka ku tow the line
Natumai walioandaa anguko la Omari Nundu na Khamis Kagasheki hawatofanikiwa kwenye jaribio la kumwondoa Sospeter Muhongo.
Maana ningesema Mwakyembe na Magufuli lakini hao wote wawili tumegundua ni wazugaji
sasa kwa style hii kweli kuna mtu atakuwa na imani utumishi wa umma?
Tulikotoka...
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/255287-omari-nundu-sioni-sababu-ya-kujiuzulu.html
Hivi tunaelekea wapi kama taifa?
Natumai walioandaa anguko la Omari Nundu na Khamis Kagasheki hawatofanikiwa kwenye jaribio la kumwondoa Sospeter Muhongo.
Maana ningesema Mwakyembe na Magufuli lakini hao wote wawili tumegundua ni wazugaji
sasa kwa style hii kweli kuna mtu atakuwa na imani utumishi wa umma?
Tulikotoka...
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/255287-omari-nundu-sioni-sababu-ya-kujiuzulu.html
Hivi tunaelekea wapi kama taifa?