Mwaka anatibu nina ushahidi, huyo fathergate nae afuatiliwe achunguzwe kwa sababu na yeye anayo clinic yake, yanayoendelea kwa mwaka ni hujuma tu hakuna jipya, kama babu wa loliondo hataenda kuchunguzwa nitamuona kigwangwala hana muelekeo anafanya kazi kwa chuki na wivu tu.