habari wanajamvi.
.nauza XBOX 360 yangu kwa bei ya kirafiki kabisa pia nitakupatia cd moja bure ya mission ya blades of time... nitwangie kupitia namba yangu ya voda 0754909834
Hujaweka specs zake xbox 360 yapo matoleo mengi
http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_Xbox_360_retail_configurationsHahahaha Xbox (360) ni toleo hilo la xbox..! Specs google
http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_Xbox_360_retail_configurations
Sio zote zina capacity sawa hard drive zinapishana pia kuna Zenye port za hdmi na nyingine hazina ni Kama kwenye simu uambiwe galaxy s3 sio zote unakuta ni sawa in storage etc
laki mbili