SIKUSHAURI UACHANE NAYE ,, EVERYONE DESERVE THE SECONDE CHANCE !!.
wat if ukimuacha namimba niyako ?? .alafu kiukweli unasema X wa mke yaaaan inamaaana Huyo mwanamke wako umemuona mwezi mmoja baada yakukutana naye ?????? Nimkeo wandoa au ulifanya " njoo tuishi " ????? Nakama niwandoa inamaana we ulivokutana naye mpaka unamuona ulikua nindan ya mwezi mmoja ???????? Nakam nihapana , inamaana Huyo mwanamke alikua alikua anakusaliti ???? .
Haingii akilin mwanamke ulikua naye Kwa uchumba mpaka ukamuoa Leo hii ,,mmeishi amepata mimba Leo hii useme ni X wake ,,,,,,, Sema mkeo alikua anachepuka kama kawaida kwaiyo sio X sema ni mchepuko wake nakam mimchepuko yes kuna possibility Wenda ikawa yake .
Lkn pia mchepuko Wenda anaforce mimeseji iyo kwalengo kua wewe utafaulu kuzisoma na mtagombana alafu umuache !!
Nahisi kichwa kunipasuka wakati harusi sio yangu .
Mkuu kaaa nahuyo mwanamke mzungumze .