Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Aliyekuwa Mkuu wa IMF Dominique Strauss-kahn amefutiwa mashitaka yaliyomkabili kwa tendo la kubaka,waendesha mashataka wameshindwa kupata kithibitisho cha kumtia hatia!hata baada ya vielelezo vya DNA kuwakilishwa kutoka kwenye mbegu zake za kiume lakini imegonga mwamba.Mlalamikaji ameonekana alikuwa analeta usanii kwani kulikuwa hakuna kulazimishana ni mapatano yao!hivi inawezekanaje mtu akakulazimisha ufanye nae "oral sex" na kwanini usimng'ate wakati akikuletea mdomoni dhakari yake? hii nayo ndio imechangia kutupilia mbali kesi hiyo hata hivyo anaonekana si muanifu kwani huko kwao anasema kuwa ni muhanga wa kubakwa na watu wengi ndio akapewa makazi huko state.tukiacha hilo kilicho nishangaza ni kuwa mke wa kizito huyo anatoa support ya kutosha kwa Husband wake akijua kuwa jamaa ni dunga dunga kinoma sijui kama hata anachembe ya wivu huyu bibie.
Strauss na mkewe