X anataka kurudi...

binafsi na feture na huyu mwanamke.siko kwa ajili ya kumtumiaa
inaonyesha mlikuwa mnakula wote na jamaa
ukiweza endeleza hiyo hiyo,
mtakapokutana wote kwenye giza ndipo utakapoamua.
 
lizzy,nafanyaa kilaa kitu kumuonyesha na mjalii na kumpenda,yeye binafsi mda sio mrefu ananiambiaa hawezi kurudii tena kwa huyo mwanaume ana niitajii mimi,ila mi nakuwaa siamini asili mia mia cse jamaa yuko karibu zaidi yangu.so ana advantage na sijui wanaongea ninii inawezekana jamaa akawa kinganganizi mpaka akalengea
Mwache achague mwenyewe anamtaka nani.
Unachoweza kufanya ni kumwonyesha tu kwamba ni kwa kiasi gani unampenda na kumwacha afanye maamuzi yake!
 
habari za mchana na ma greater thinker...kitambo kidogo sijapata msaada kutoka kwenu,kuna mwanamke tumeanza ma uhusiano kama mienzi mitano iliyo pita,kwelii na mpenda na ananipenda,alikujaa kwangu baada ya kuumizwa na kutendwaa na jamaa yake wa kwanza,jamaa alikiwa nae huku ana girlfriend mwingine nje ya nchi.alipo rudi yule aliekuwepo njee ya nchii akamtelekeza huyu mwanamke,kwavilee nilikuwa namtaka siku nyingi ila alisha niambia yuko na huyo jamaa,so nikawa nimepunguza mawasiliano,baada ya kutendwa kulee akawa anawasiliana na mimi like friend wa kawaida na kunisimuliaa yote yalio mkuta.
nika mpa moyo and tukaa ends kuwaa lovers.but now yule jamaa amekujaa kujua yule girlfriend wake alioko abroad anataka kuolewaa,so kuanzia juzii anampigiaa cm huyu x wake akitaka warudiane na machozii anatoa.kwa vile niko mbalii na huyu binti jamaa inakuwa kama kingezo,na jamaa ananijua na tunawasiliana bfr and after kuachana na huyu gal ambe ndo wangu sasaa. je kwa halii hii wakuu mnanishaurii nini?

Kama alimbikiri hapo huna chako anarudi kule kule na huyo wa abroad akipigwa chini basi huyo jamaa ataelekeza mashambulizi tena kwa wa abroad hapo kazi unayo bora na wewe umpige chini tu huna jinsi.
 
lizzy,nafanyaa kilaa kitu kumuonyesha na mjalii na kumpenda,yeye binafsi mda sio mrefu ananiambiaa hawezi kurudii tena kwa huyo mwanaume ana niitajii mimi,ila mi nakuwaa siamini asili mia mia cse jamaa yuko karibu zaidi yangu.so ana advantage na sijui wanaongea ninii inawezekana jamaa akawa kinganganizi mpaka akalengea

Well ikitokea akashawishika kurudi kwa jamaa pamoja na anayokueleza (hamtaki jamaa..anakuhitaji wewe..etc) basi jua hana msimamo na umwache aende zake!!
 
lond distance relationships never work kaka....wewe usijipe tabu three is a crowd jiweke pembeni tuu.
 
Mi naona wote hapo ni players tu! Endeleeni na machezo atakayenogewa zaidi ataomba mwenyewe kupishwa, na ikifika hatua hiyo uungwana unapaswa kuchukua nafasi yake. Mi mwenyewe washkaji niliowapishaga kwenye mambo hayo hadi leo ni mabest kinoma.
 
Mwanamke ambae yupo vulnerable hasa kuhusiana na mambo ya mapenzi, mara nyingi huelemea kule ambako anaona she is needed/loved most; Na hio atajudge tokana na vitendo vya wahusika.... IMO Ukibweteka sio wako tena, it si beta ugangamale so that you know you tried hata akikubwaga... After all you claim mwapendana.
mmmhhh Asha! Agangamale hata kama hapendwi?
 
Kwa kuwa mkuu ulishapigwa chini na huyo mdada kwa sababu ya huyo huyo mkaka, nafikiri uwezekano wa kuwa unapendwa ni mdogo sana. Kukubaliwa kwako kwa sasa ni kwa kuwa alikuwa hana pa kwenda na alikuwa anatafuta faraja baada ya kutendwa. Ni vzr kufikiria maamuzi yako kwa upya.Ila unaweza pia kuusoma uhusiano wa huyu mdada na huyo X wake anapopigiwa simu kama anazichukulia positively au laa na pengine kumsoma kupitia kwenye mazungumzo yenu juu ya huo uhusiano mpya unaozuka. From there unaweza kuwa na maamuzi sahihi ya kufanyaPole mkuu.

Horse power umemnenea ukweli mtupu....bahati mbaya ukweli huu unauma......e ...............HAPO haupendwi weye ni chombo cha kubalance hormones zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom