WWE usanii mwingi Wanaume wa ukweli wapo UFC

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,146
11,192
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa miereka ya WWE lakini baada ya kuanza kuleta drama zao na maigizo kuanzia mwaka 2011 nikaacha kuifuatilia sababu ya maigizo kuwa mengi. WWE huwa hakuna mshindi wa kweli bali ni washindi wa kupangwa.

ukija upande wa UFC wazee wa Octagon ndio habari ya town yaani wanatoa kichapo cha ukweli na hamna ujanja ujanja, Ushahidi mzuri ni kipigo alichokula jana Connor macregor kutoka kwa Mrusi Khatib, Macregor kachezea kichapo sio cha mchezo mchezo kachezea kipigo cha mbwa koko

Ronda rousey nae baada ya kuona ufc hali ni ngumu na hamna janja janja akaamua kukimbilia WWE, BROCK lasner nae pamoja na ubabe wake wa wwe lakini akija UFC huwa anachezea kichapo kikali hadi unajiuliza ndio yule brock nnayemfahamu?

Angalia hapa akila kichapo
 
Mie siangaliiagi kabisa haya ma mieleka!! Mtu anapigwa na viti vya chuma wala hata hapati nundu!!
 
daaahh mc Gregory " mimi ni Fan wake kaniangusha mnoo aisee " inamaana nae anapigana wrestling now day's
 
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa miereka ya WWE lakini baada ya kuanza kuleta drama zao na maigizo kuanzia mwaka 2011 nikaacha kuifuatilia sababu ya maigizo kuwa mengi. WWE huwa hakuna mshindi wa kweli bali ni washindi wa kupangwa.

ukija upande wa UFC wazee wa Octagon ndio habari ya town yaani wanatoa kichapo cha ukweli na hamna ujanja ujanja, Ushahidi mzuri ni kipigo alichokula jana Connor macregor kutoka kwa Mrusi Khatib, Macregor kachezea kichapo sio cha mchezo mchezo kachezea kipigo cha mbwa koko

Ronda rousey nae baada ya kuona ufc hali ni ngumu na hamna janja janja akaamua kukimbilia WWE, BROCK lasner nae pamoja na ubabe wake wa wwe lakini akija UFC huwa anachezea kichapo kikali hadi unajiuliza ndio yule brock nnayemfahamu?

Angalia hapa akila kichapo




WWE ni wizi na uongo mtupu.
 
Wwe kuna match za no disqualification unachezea kichapo mpaka unaomba po. Sema sipendagi ile dhana mwenye mkanda akiona anazidiwa ana haribu match kwa kutumia mbinu yoyote ile then anasepa na mkanda sijui ni upuzi gani huu
 
World Wrestling Entertainment, key word Entertainment.

Inajulikana ni maigizo, wana hadi maneno ya kutamkiana ili ujue nini kinafuata akishakushika sehemu fulani ya mwili.

Pia kunakua na script. Mfano miaka ya 90 kuna washkaji wawili ni wamarekani ila WWE walikua wanajitambulisha kama Warusi au Waasia ila hawakutakiwa kujua kiingereza.

Siku hiyo wakiwa na Hulk Hogan wakakamatwa na askari kwa kuendesha kwa kasi, Hulk akawa anajitetea lakini utetezi wake ulihitaji ushahidi na ushahidi ambaye angeweza kuutoa ni wale washkaji, ambao character yao haikuwaruhusu kuongea.

Guess what? Walienda rumande simply kwakua wale washkaji hawakutaka kuvunja character.
 
WWE ni maigizo ni entertainment kama ukifatilia utaligundua Hilo mi nikiangalia huwa na assume kama ni maigizo


Hata wewe unaangalia MAIGIZO??, ndiyo maaaana vitu vingi unafanya maigizo😁😁😁.

Unakuaje unachezewa shere na akili zako timamu unakubali!!?? Unakubali kuzugwa??, Astro nomaaa?!!.
 
Kwa hiyo ww huangaluagi muvi ?



Kabisa siangalii move wala filamu yoyote ya maigizo, maigizo maana yake ni UONGO uliofananishwa na ukweli.

Ni bora niangakie filamu za wanyama au mpira au michezo yoyote ya ukweli, lakini siyo MAIGIZO (acting).

Serious, mimi huwa siangalii vitu kama hivyo.
 
Kabisa siangalii move wala filamu yoyote ya maigizo, maigizo maana yake ni UONGO uliofananishwa na ukweli.

Ni bora niangakie filamu za wanyama au mpira au michezo yoyote ya ukweli, lakini siyo MAIGIZO (acting).

Serious, mimi huwa siangalii vitu kama hivyo.

Kwakuwa umesema huangalii muvi basi sitakujibu waache wanaongalia waangalie
 
Back
Top Bottom