peterwapeter
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 529
- 269
Habari wakuu?"
Naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote aliewahi kufanya written interview kwenye kada ya Afisa Usimamizi wa Fedha Daraja II, anaweza kunijuza aina ya maswali ambayo huulizwa, maandalizi ya utumishi majina yapo hewani.
Asanteni.
Naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote aliewahi kufanya written interview kwenye kada ya Afisa Usimamizi wa Fedha Daraja II, anaweza kunijuza aina ya maswali ambayo huulizwa, maandalizi ya utumishi majina yapo hewani.
Asanteni.