godoro-la-comfy
Member
- Sep 9, 2013
- 52
- 28
Wadau...ndio nimetoka kwenye written interview ya TRA pale Duce. Aisee ilikua noumer tupu. Majibu kesho jion saa 10. Maswali magumu sana. Kweli kama ni kazi...sasa ivi tutakua tunazipata kwa neema ya Mungu au kwa vimemo tu. Kama hali yenyewe ndio hii.