Written interview - Mott MacDonald

icca

Senior Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
186
Reaction score
177
Hello wana jukwaa.

Mwishoni mwa mwezi wa tano, kulikua na usaili wa kuandika Mottmac Dodoma, wakasema watatoa majibu ndani ya wiki mbili.

Wiki mbili naona zimeisha.

Kwa waliofanya usaili uo kuna lolote linaendelea uko, mmepatamajibu yoyote.
Na kama kuna mtu humu ndani wa organization io, atuambie basi yanayoendelea.

Ahsanteni, Majukumu mema.
 
Ipi sahihi, Mott Mac Donald au Mottmac Dodoma
Yoyote Mkuu,
Ila Lengo ni kujua kinachoendelea, majibu ya written yalitoka?
Kama una ayo majibu itakua vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…