Kimsingi hizi test huwa zinatest general knowledge ya mhusika. Mara nyingi znakuwa katika sehem tatu; Communication skills, Maths&Proffessional questions(maswali haya yanahusu kile ambachounaenda kukifanyia kazi). Usijilimit uwezo wako wa kufkiri. Just think out of the box and im sure you will come out with flying colours. Goodluck!
Wadau nimeitwa hivi karibu kwnye bank kufanya written test kwa ajili ya kazi, naombeni msaada juu ya kuibamiza iyo test yao mwongozo kidogo wadau nijiandaaje
Shukran pia ila mi ni mdada!
Lazima kwanza uwe una uwezo wa kujieleza, you background, education & employement history
Pili lazima uifahamu vizuri IN and OUT hiyo Bank (be informed the Co your applying for)
Tatu uwe informed na kazi unayoiomba You will be asked proffession questions
Mwisho jiamnini na usionekana uko so desparate kuipata kazi hiyo. Vaa nadhifu pia nenda na original certificates zako