Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,210
Mkuu pm ya Mzigua haifungwi ila mgum jaribu bahati yakoMbona mi sijaifunga jamani. Labda iwe inajifunza kwako tu
Mkuu pm ya Mzigua haifungwi ila mgum jaribu bahati yakoMbona mi sijaifunga jamani. Labda iwe inajifunza kwako tu
Vigezo vyangu ni vya ajabu mnoWewe team wowowo au team flatscreen
Mkuu hilo zigo hapanaKwa figure hii..mabachelor wanaokula wali maharage. Msaaada Wa harakat utaitajika..
Kuvuta hii semitrailer
Kama aje?Vigezo vyangu ni vya ajabu mno
Hahahahaaa. Acha kumkatisha tamaa inaweza ikawa bahati yake akanifungulia bikra kwa wanaume wa JFMkuu pm ya Mzigua haifungwi ila mgum jaribu bahati yako
Kubwa sana lileMkuu hilo zigo hapana
Ndiyo nimesema ajaribu bahati yake mkuuHahahahaaa. Acha kumkatisha tamaa inaweza ikawa bahati yake akanifungulia bikra kwa wanaume wa JF
Ninakoshwa sana na mwanamke mwenye akili( mwenye hekima)Kama aje?
Kweli kabisa Usemayo lakin sio kila mtu utaoaNinakoshwa sana na mwanamke mwenye akili( mwenye hekima)
Hata kuangusha.
Unajua ke ni msaidizi, msaidizi makini hatayumbisha mipango yako ya maisha.
Uhusiano wa tamaa ya tako sura au flat bila pekee kwangu naona ni hatari.
Mtu ninayemvulia nguo sharti awe mtu sahihi na nimethibitisha.
Mengine siri yangu
Mkuu limizid inatakiwa saizi za akina mziguaKubwa sana lile
Ninaelewa lengo la mleta mada, nimekwepa kujadili uzinzi na uasherati huwa sipendelei hilo.Kweli kabisa Usemayo lakin sio kila mtu utaoa
Tatizo mi tako sio kubwa sana kama hips. Sasa badala ya kuonekana kibonge naonekana mpana.Mkuu limizid inatakiwa saizi za akina mzigua
Sawa mkaka mzuriNinaelewa lengo la mleta mada, nimekwepa kujadili uzinzi na uasherati huwasipendelei hilo.
Nimezungumzia kwa upande wangu.
Sawa mrembo wetuSawa mkaka mzuri

Pm yangu aitaki bana sijui nn shida aiseMkuu pm ya Mzigua haifungwi ila mgum jaribu bahati yako
Na nitajaribu kila shetani na mbuyu wakeHahahahaaa. Acha kumkatisha tamaa inaweza ikawa bahati yake akanifungulia bikra kwa wanaume wa JF

kumbe ww timu chura,big upHaya wenye wowowo tunakusalimia.